Habari wadau,
Niko na kamtaji kangu nataka nilime Tangawizi pale Same nimepata fununu kuwa pale ndo msimu wake huu. Naombeni mwenye utambuzi kdogo anisaidie.
1. Gharama ya kukodi shamba Ekari moja
2. Gharama za kuandaa shamba
3. Gharama za mbegu
4. Gharama za mbolea
5. Gharama zingine(Etc)
At...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.