Recent content by Izy_Name

  1. Izy_Name

    Science: Zaidi ya asilimia 99 ya vitu vilivyopo ulimwenguni, binadamu hatuvioni wala kuvihisi

    post number 1 na number 2 naona ni chatgpt zinajibizana
  2. Izy_Name

    Mungu na jamaa yake Shetani wanazidi kupoteza umaarufu waliojizolea

    sciece haijawahi kusema kuwa mungu hayupo pia haijawahi kusema kuwa mungu yupo
  3. Izy_Name

    Mungu na jamaa yake Shetani wanazidi kupoteza umaarufu waliojizolea

    bado hujaelewa basi tuambie kuwa science ilitaja jina la mungu kwa muktadha upi
  4. Izy_Name

    Mungu na jamaa yake Shetani wanazidi kupoteza umaarufu waliojizolea

    pia tafuta na usome ' Anatomy ya moyo Shinikizo la damu Sheria za fluid dynamics Evolutionary development ya mfumo wa moyo kwa viumbe na pia kasome Gravity (General Relativity) Planetary formation (accretion disks) Orbital mechanics'
  5. Izy_Name

    Huu ni mjadala maalumu kuhusu uwepo wa Mungu na kutokuwepo kwake kwa ushahidi wa vitabu vitakatifu, history na science

    utata ni uwepo wa mungu dini zimeshindwa kutoa ushahidi usio na mashaka huku science kwa kiasi kikubwa ina hoja zenye mashiko
  6. Izy_Name

    Mungu na jamaa yake Shetani wanazidi kupoteza umaarufu waliojizolea

    science ime prove sehemu gani hebu tuambie (binafsi naamini mungu yupo)
  7. Izy_Name

    Huu ni mjadala maalumu kuhusu uwepo wa Mungu na kutokuwepo kwake kwa ushahidi wa vitabu vitakatifu, history na science

    Ingawa wanasayansi wengi hawajawahi kusema wazi kuwa hakuna Mungu, tafiti na maelezo ya sayansi yanapokuja na majibu yanayotofautiana na maandiko ya dini, mara nyingi huleta tafsiri inayofanana na dhana ya kutokuwepo kwa Mungu au angalau kutohitajika kwa Mungu katika kueleza asili ya ulimwengu...
  8. Izy_Name

    Wabongo wampelekea moto Tyrese baada ya kumpost Samia na kumsifia hadi akaifuta post yake

    Huyu Tailis na yeye ni wa huko daslam wakuu?
  9. Izy_Name

    BigUP Balozi Dkt. Nchimbi kukubali hoja za Rais wa TLS, Wakili Mwabukusi, kuhusu yaliyopita Oktoba 29 si ndwele, tugange yajayo ya Tume ya Uchunguzi

    Tugange yajayo, kwani yaliyopita wameisha kiri kuyatenda? ili tugange yajayo ni lazima muhusika akiri
  10. Izy_Name

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Thread imevamiwa na watu wa insta tena chawa haswa thread haitamaniki tena
  11. Izy_Name

    SOFTWARE Nauza Mfumo wa Kusimamia stock, mauzo, manunuzi na kutunza ripoti zote za kifedha kwa bei nafuu sana

    kulipia program au mpaka mteja awafate officin awape cash mumuwekee program kwenye flashcard
Back
Top Bottom