Umejitahidi kuelezea lakin umetuachia maswali sisi kabla ya kukushauri. Msisitizo: Mwanaume unatakiwa ufikirie kwakufanya reasonings na sio feelings.Hivyo ikikupendeza ungeweka maelezo yanayoeleweka.
1. Mmeoana au njoo tuishi kinyumba?
2. Kiasi gani unachomwachia huyo mwanamke cha hiyo kodi ya...
Umechukua uamuzi sahihi katika wakati sahihi. Hatua ingependeza zaidi hata kwa media kususia kuandika habari za upande wao ikiwezekana hata kususia mikutano yao wabaki wao na kenge wao.
Hali ya usalama wa watembea kwa miguu ni changamoto hasa kutokana na wafanyabiashara ndogondogo kufanya biashara zao katika njia za watembea kwa miguu. Hii imefanya watembea kwa miguu kupita pembezoni mwa barabara. Hali inayopelekea usalama wao kuwa mashakani.
Kinachoshangaza zaidi...
Ulishawahi kuwa mwangalizi wauchaguzi?
Mm nimeshuhudia kura za Upinzani alieshinda zikiandikwa upande wa chama dola na kura za chama dola alizoshindwa anapewa mpinzani; mbele ya vyombo vya dola.
Kuna mwaka nakumbuka nimekua mwangalizi returning officer akasema kwa kuwa muda ni usiku matokeo...
Licha ya kwamba sikubaliani na Comrade na mtandao wake walivyofanya uhuni kipindi cha utawala ule...ambapo mambo kadhaa yalijitokeza ikiwepo uporaji wa chaguzi, mauaji na upotezwaji wa raia wapinga serikali na chama dola nk!
Pamoja na makosa waliyoyafanya utawala ule; kitu pekee kilichonivutia...
Ninawashauri CHADEMA kama wakialikwa kuhudhuria msibani watumie nafasi hiyo kusema ukweli kuhusu marehemu alivyoitendea CHADEMA akiwa madarakani; na kupitia msiba huo kama CHADEMA wanamseheme ila wanawaambia viongozi wengine kifo ni fumbo hivyo watende mema kwa wanaowasimamia katika shughuli za...
Tumeshuhudia uchaguzi ndani ya chama tawala nchini ukitamatika hivi karibuni.
Uchaguzi ambao umewaacha/ kuwaengua waliokuwa wabunge katika majimbo mbalimbali.
Licha ya rafu katika chaguzi hizo; baadhi ya waliokua wagombea wameingia katika vyama vya upinzani kwenda kupeperusha bendera kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.