Kwa nini mtumishi wa Mungu anaandika maneno mengi namna hii wakati hana uhakika na kitu anachokisema kama alivyoanza kuandika?. Pia anatanguliza tahadhali ya kuuwawa kwa kumgusa huyu mtu, ukiangalia kwa undani ni kama vile anazo taarifa za watu waliouawa kwa kumgusa huyu mtu au kwa maneno...
Wakati mwingine huwa nawashangaa watu kutopenda ama kwa bahati mbaya ama kwa makusudi kutomuwlewa mtu, sasa waziri kusema mashoga wapo salama amesema wapi wanaruhusiwa kufanya biashara zao, kuwa salama haina maana wakionekana hadharani wataachwa bali sheria ipo pale pale itafuata mkondo wake...
Tatizo linaanzia kwa wanunuzi wanaokimbilia kununua bila kiangalia ubora, wa kile wanachonunua, kisa wameambiwa korosho ni dhahabu, ndiyo wamekutana na dhahabu ya kweli. Wajipange maana hapa bongo uaminifu ni zero. Ila waliofanya hivi wasiachwe hivi hivi maana huo mzigo utajulikana ulitoka chama...
Tanzania ni takataka? wewe mwenzetu raia wa nchi gani maana hili ni tusi kwetu wazalendo, kama wewe ni mtanzania pia tafadhali tangulia dampo tutakukuta.
Elewa kidogo tu, uwenyekiti wa bodi si kazi ya muda wote(full time job) hivyo wataendelea kufundisha. Nakushauri pia ukasome kwa kukusudia maana hapo Udsm ni maji marefu, waulize waliopitia hapo nani hubaki kufundisha mara baada ya kuhitimu.
Hiyo kwa kizungu wanaita near miss, maanake ni kwamba gari iliyotumbukia ilibeba abiria hamsini katika safari yake,nusura tu kwakuwa walishuka gari lilipoingia kwenye kivuko kwasababu tu ya utaratibu wa kivuko,vinginevyo wangelikuwamo wakati gari linatumbukia mtoni,hiyo inaitwa manusura sawa...
Mhh, longo longo sasa zimezidi, yaani bakharesa ashushe mizigo beira kwa ajili ya biashara ya Tanzania? si kweli kule amejenga viwanda kule. Je unajua hali ya barabara toka beira hadi mpakani mwa Tanzania zikoje?,je gharama yake ni ndogo kuliko hiyo kodi iliyoko bandari ya Dar?. Labda kama hii...
Aksante kwa elimu nzuri ya Jiografia maana vijana hawa wa kizazi kipya hawajui Jiografia ya nchi hii, wanakimbilia kukomenti kwa kulalamika tu, sasa hilo sio kosa letu ni lakwao kwa kutopenda kuijua nchi yao, mtu unaambiwa gari imetokea mwambao wa ziwa Tanganyika wewe unakimbilia daraja la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.