KIGOMA: Zaidi ya abiria 50 wanusurika kifo baada ya basi kutumbukia katika mto Malagarasi

Nimesha wahikufika eneo tukio lilipotokea, kwa utaratibu ulivyo pale kila abilia lazima ashuke alipie gharama ya kuvukia na dereva pia analilipia gar lake, so ingekua ngum kwa abilia kubaki ndan ya gar wote lazma washuke, labda hasara ni mizigo iliokuwa ndan ya gar, siamin kama kuna majeluhi pale.
Mizigo sasa nani atafidia???
 

Attachments

  • IMG_20161101_171113.jpg
    IMG_20161101_171113.jpg
    23.8 KB · Views: 49
Dah...ingekuwa wale twiga wetu wawili..ingekuwa hatari sana..mapati yangeangushwa humu:D:D:D:D
 
Hivi hakuna daraja jipya limmezinduliwa mto malagarasi hivi karibuni?
maragarasi ni mto wenye vivuko vingi.
Kibondo to kasulu unauvuka mto huo,
Uvinza to Nguruka- kama unaenda Tabora unauvuka tena.
kigoma to Mpanda, ukifika uvinza lazima uvuke tena huo mto
halafu kuna hicho kivuko ambacho kipo karibu na Tangangyika
 
maragarasi ni mto wenye vivuko vingi.
Kibondo to kasulu unauvuka mto huo,
Uvinza to Nguruka- kama unaenda Tabora unauvuka tena.
kigoma to Mpanda, ukifika uvinza lazima uvuke tena huo mto
halafu kuna hicho kivuko ambacho kipo karibu na Tangangyika
Aksante kwa elimu nzuri ya Jiografia maana vijana hawa wa kizazi kipya hawajui Jiografia ya nchi hii, wanakimbilia kukomenti kwa kulalamika tu, sasa hilo sio kosa letu ni lakwao kwa kutopenda kuijua nchi yao, mtu unaambiwa gari imetokea mwambao wa ziwa Tanganyika wewe unakimbilia daraja la Kikwete ambalo liko Tabora kwenda Kigoma. Jionee aibu wote msiopenda kusoma habari kwa umakini na kuijua Jiografia ya nchi yenu. Kama hujui kitu bora ukae kimya si lazima kuandika ili uma ukujue ukilaza wako.
 
Aksante kwa elimu nzuri ya Jiografia maana vijana hawa wa kizazi kipya hawajui Jiografia ya nchi hii, wanakimbilia kukomenti kwa kulalamika tu, sasa hilo sio kosa letu ni lakwao kwa kutopenda kuijua nchi yao, mtu unaambiwa gari imetokea mwambao wa ziwa Tanganyika wewe unakimbilia daraja la Kikwete ambalo liko Tabora kwenda Kigoma. Jionee aibu wote msiopenda kusoma habari kwa umakini na kuijua Jiografia ya nchi yenu. Kama hujui kitu bora ukae kimya si lazima kuandika ili uma ukujue ukilaza wako.
tusimlaumu sana, ila kivuko kipo Bangwe kigoma
 
Nakumbuka yapo madaraja yafuatayo:
1. Kigoma to Mpanda kupitia Uvinza
2. Kigoma to Tabora kupitia Nguruka
3. Kigoma to Kibondo kupitia Kasulu.
Mto Maragarasi huo, meandering.
 
Sasa unasemaje abiria 50 wanusurika kifo wakati kwenye basi hakukuwa na abiria?

Sometimes Nape yupo sawa
 
Sasa unasemaje abiria 50 wanusurika kifo wakati kwenye basi hakukuwa na abiria?

Sometimes Nape yupo sawa
Hiyo kwa kizungu wanaita near miss, maanake ni kwamba gari iliyotumbukia ilibeba abiria hamsini katika safari yake,nusura tu kwakuwa walishuka gari lilipoingia kwenye kivuko kwasababu tu ya utaratibu wa kivuko,vinginevyo wangelikuwamo wakati gari linatumbukia mtoni,hiyo inaitwa manusura sawa. Kiswahili kigumu pia usichezee.
 
Back
Top Bottom