Unamkosea kumwita majina yasiyo faa Ruto amesimamisha kusaini hiyo na yuko tayari kuzungumza nao hakuna binadamu asiyekosea hakuna jambo ambalo huisha kwa vurugu bila ya kukaa katika meza ya majadiliano kuendelea kaharibu miundo hiyo siyo sulhu ya kuondoa tatizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.