Recent content by ivankeny

  1. ivankeny

    Madai haya ya Zitto kama ni ya kweli, basi hii ni moja ya sababu kwanini sisi ni masikini na tutaendelea kuwa hivyo

    Siku tukiacha Kuweka Siasa kwenye kila kitu tutakuwa mbali sana
  2. ivankeny

    Ufalme wa P Funky Majani ndani y East Africa!

    Tycoon shah ft Fid Q na Inspekta haroon [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]..MAJANI
  3. ivankeny

    Ufalme wa P Funky Majani ndani y East Africa!

    Ww ndio unataka potosha sasa
  4. ivankeny

    Natafuta mifuko ya Kuhifadhia Mazao

    Hiyo ya TFA huwa ni ile ya Magunia ya katani..ninayohitaji mimi ni ile ya Nylon...
  5. ivankeny

    Natafuta mifuko ya Kuhifadhia Mazao

    Bado ngoja tutapata tu
  6. ivankeny

    Natafuta mifuko ya Kuhifadhia Mazao

    Wapi mkuu naulizia maeneo ya Dar sababu nipo mkoani nahitaji kuja Dar
  7. ivankeny

    Natafuta mifuko ya Kuhifadhia Mazao

    Wanajamvi naomba kujuzwa sehemu wanapouza mifuko ya Jumla ya Kuhifadhia Mazao,kwa bei ya Kiwandani..ama hata sehem kilipo kiwanda cha uzalishaji...Natanguliza Shukrani.
  8. ivankeny

    Msaada wanapouza Mifuko/Magunia ya Plaskiti ya Mazao kwa Jumla

    Nahitaji msaada wa Wapi naweza kupata Mifuko ya Mazao ya plastic nitayonunua kwa jumla.. Bei ya kiwandani..anaejua plizz kwa maeneo ya Dar
  9. ivankeny

    Telegram yapata shambulizi kali la kimtandao, yapotea hewani dunia nzima

    Ila Ikidonwload channel za movie ina run tu
  10. ivankeny

    Telegram yapata shambulizi kali la kimtandao, yapotea hewani dunia nzima

    Ndio hata mimi nimeshangaa toka mda..nikajua tatizo ni kwangu mpaka nime uninstall..ku install tena mambo ni yale yale
  11. ivankeny

    Je, unawaza ujiajiri? Pita hapa na itazame hii biashara kama itakufaa

    Nimekuwa na mpango sana na ofisi kama hiyo ..kitu nilichojifunza ni location na Kuweka mahusiano mazuri na wateja maana kuna sehem unakuta hata wenye hiyo biashara wapo Wengi ila bado inakuwa inalipa tu...bianfsi nimeanza kununua vitu kidogo kidogo.
  12. ivankeny

    Je, unawaza ujiajiri? Pita hapa na itazame hii biashara kama itakufaa

    Kaka nadhana mleta uzi alienda mbali sana huko kwenye 3M mi nadhana inaweza kuwa hata chini ya M
Back
Top Bottom