Recent content by itula

  1. I

    Jina herode

    Mfalme herode...kwa nini wazazi wengi hawalitumii jina hili kuwaita watoto wao kama ilivyo majina mengine yaliyo katika biblia takatifu mfano mathayo, yuda, yohana , luka , samweli, yoshua, mussa, daudi, isaya , yusuph n.k Sent using Jamii Forums mobile app
  2. I

    Guest/Lodge Mwanza

    Mwanza ooo mwanza mwanza mji mzuri sasa jiji
  3. I

    Niko njia panda; Je; Watoto niwaandikishe English medium au niwapeleke Kayumba wakapambane?

    Wapeleke primary school japo na shule za msingi sasa zinafanya vizuri
  4. I

    Hawa ndiyo wachungaji matajiri zaidi Tanzania

    Mbona hayo makanisa mengi kwa dar yapo wilaya ya kinondoni/ ubungo??
  5. I

    Nina mbolea ya kinyesi cha popo

    Ninazo kilo 60 za kinyesi cha popo sasa maelekezo ya matumizi yake kama mbolea shamba la mahindi yamekua mengi mno tofautitofauti mwenye uelewa sahh anisaidie
  6. I

    Wachina

    Dini nayo ni kiwanda mkuu
  7. I

    Wachina

    Wachina hapa tanzania wameenea kila mkoa na kila wilaya!!! Waanze kuwekeza katika madhehebu ya dini ( ukiristo/ uisilam)
  8. I

    Mtandao hatari wa kutapeli watu fedha

    Shambani shambani mazao bora shambaniii
  9. I

    Uhuni wa shule binafsi

    Primary school vs shule ya msingi
  10. I

    Mwaka huu mvua tabu

    Tuombe mungu atujalie
  11. I

    Mwaka huu mvua tabu

    Kifupi huku kwetu mvua zimekua ni adimu tumepamda mahidi sasa yapata mwezi mmoja umeisha yapo chini ya aridhi hayajaota.. Nijuzeni huko mulipo hali ipo vipi?
  12. I

    Mabilionea wenye Private Jets Tanzania

    Private jet kitu gani wenue fisi watasemaje??
Back
Top Bottom