Habari wana Jamvi, ni matumaini yangu mpo salama kabisa, mnaendelea kuchapa kazi na kutafuta tonge
Katika uzi wangu uliopita nilizungumzia mbinu mbalimbali ambazo unaweza kuzitumia katika biashara yako kuongeza mauzo na wateja pasipo kuongeza gharama za matumizi yako na kuendelea kumaintain...
Habari wana jamii forum, ni matumaini yangu mnaendelea salama baada ya mda mrefu kupita bila kushusha thread ya moto....
Leo nimependa kuzungumzia swala zima la mauzo (sales) na jinsi ya kuongeza wateja kwenye biashara, kuna msemo unasema "kufungua biashara na kuuza ni vitu viwili tofauti...
Unaweza tumia PayPal ya Dubai hata mm natumia hio hio huhitaji kua na namba ya Dubai, Ila address utaweka za dubai, Kisha fungua business account sio personal kweny card tumia wise au chipper Kisha utavuta mpunga wako kirahisi kabisa
Habari wana JF, natumaini mko salama kabisa mnapambana na majukumu ya kila siku
leo nmependa niongelee kwa ufupi kuhusu lead generation, amapo Kukusanya leads ni muhimu kwa mafanikio ya biashara yoyote. Unaposikia kukusanya leads au leads generation Ni mchakato wa kukusanya taarifa za wateja...
Habari wana Jamii forum, natumaini mko salama kabisa mnapambana kutafuta ugali
Sasa hivi kumekua na wimbi kubwa la vijana ambao wanaingia kwenye biashara, baada ya kukosa ajira walizokua wanategemea baada ya kumaliza masomo yao, walio fukuzwa kazi, na wengine ambao wanatamani kujiajiri ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.