Recent content by Its Jensen

  1. Its Jensen

    Hizi ndio mbinu za biashara nilizojifunza kutoka kwa muuzaji nguli wa simu Kariakoo

    Habari wana Jamvi, ni matumaini yangu mpo salama kabisa, mnaendelea kuchapa kazi na kutafuta tonge Katika uzi wangu uliopita nilizungumzia mbinu mbalimbali ambazo unaweza kuzitumia katika biashara yako kuongeza mauzo na wateja pasipo kuongeza gharama za matumizi yako na kuendelea kumaintain...
  2. Its Jensen

    Kwanini biashara yako haikui? Jifunze Jinsi kampuni hii ilivyokuza mtaji kufikia mabilioni ya pesa

    Habari wana jamii forum, ni matumaini yangu mnaendelea salama baada ya mda mrefu kupita bila kushusha thread ya moto.... Leo nimependa kuzungumzia swala zima la mauzo (sales) na jinsi ya kuongeza wateja kwenye biashara, kuna msemo unasema "kufungua biashara na kuuza ni vitu viwili tofauti...
  3. Its Jensen

    Paypal Tanzania

    Unaweza tumia PayPal ya Dubai hata mm natumia hio hio huhitaji kua na namba ya Dubai, Ila address utaweka za dubai, Kisha fungua business account sio personal kweny card tumia wise au chipper Kisha utavuta mpunga wako kirahisi kabisa
  4. Its Jensen

    Mbinu na njia sahihi za kupata wateja wapya (leads) kwenye biashara yako

    Habari wana JF, natumaini mko salama kabisa mnapambana na majukumu ya kila siku leo nmependa niongelee kwa ufupi kuhusu lead generation, amapo Kukusanya leads ni muhimu kwa mafanikio ya biashara yoyote. Unaposikia kukusanya leads au leads generation Ni mchakato wa kukusanya taarifa za wateja...
  5. Its Jensen

    Mambo kumi ya kuzingatia kwenye Blog yako kabla ua kuanza rasmi

    Hapo umenena ukweli blog yang saiv imekua ya kushare ajira tu 😂😂😂😂
  6. Its Jensen

    Fikirisha ubongo Unapoambiwa fanya utafiti kwanza kabla ya kufungua biashara

    Matajiri ndio wanaongoza kwa kutoa kafara, Biashara ni fumbo kubwa
  7. Its Jensen

    Fikirisha ubongo Unapoambiwa fanya utafiti kwanza kabla ya kufungua biashara

    Habari wana Jamii forum, natumaini mko salama kabisa mnapambana kutafuta ugali Sasa hivi kumekua na wimbi kubwa la vijana ambao wanaingia kwenye biashara, baada ya kukosa ajira walizokua wanategemea baada ya kumaliza masomo yao, walio fukuzwa kazi, na wengine ambao wanatamani kujiajiri ili...
Back
Top Bottom