Recent content by ITR

  1. ITR

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    Ila wabongo bwana yaani mbongo akisha jichanga akajenga kinyumba cha vyumba 3 na sebule basi anawaona wote ambao hawajajenga hawana akili.
  2. ITR

    JamiiForums Tanzania Nimekataa kurudiana naye, sasa anataka kuvujisha picha mtandaoni alizonipiga kwa Siri. Sijui Nifanyaje?

    Kiufupi huyo dada anatakiwa amuwahi polisi au na yeye atafute udhaifu wa huyo jamaa ambane tofauti na hapo itamgharimu sana.
  3. ITR

    JamiiForums Tanzania Mzee wakubadili gia angani

    Kwa hiyo siku akifa hutoenda kumzika Kwa sababu ni ccm? Yaani umkane au ukosane na ndugu yako kisa Wana siasa ambao nao wapo wanatafuta madaraka ili familia zao zineemeke? Lisu mwenyewe ambaye amefungwa jera katoa pole kwani yeye ni mjinga?
  4. ITR

    JamiiForums Tanzania Nimekataa kurudiana naye, sasa anataka kuvujisha picha mtandaoni alizonipiga kwa Siri. Sijui Nifanyaje?

    Kuwa status sio lazima uwe na madaraka au uwe tajiri. Unaweza kukuta ni kiongozi katika mambo ya kiimani au anaweza kupoteza kazi yake na ikawa ngumu kupata nyingine ,lakini hata kama sio mtu maarufu vip uko tiyari baba ,kaka,watoto zako waone uchi wako au waone video ukifanya uzinzi na...
  5. ITR

    JamiiForums Tanzania Mzee wakubadili gia angani

    Kwa hiyo ww ndugu yako ambaye ni mwanachama wa ccm akifa hutoenda kumzika ?
  6. ITR

    JamiiForums Tanzania Nimekataa kurudiana naye, sasa anataka kuvujisha picha mtandaoni alizonipiga kwa Siri. Sijui Nifanyaje?

    Mkuu acha kuchukulia mambo kirahisi namna hiyo. Je huyu mleta mada unajua ana sitatas gani ndani ya jamii,au anafanya kazi gani inayo muweka mjini? Au umejuaje kama ana watoto Kwa hiyo awe tiyari watoto wake waone uchi wake ? Mm nadhani afanye Kila mbinu kuhakikisha hizo picha hazivuji iwe Kwa...
  7. ITR

    JamiiForums Tanzania Mzee wakubadili gia angani

    Na nyinyi Muachage usenge misiba haina itikadi za kisiasa.
  8. ITR

    JamiiForums Tanzania Nimekataa kurudiana naye, sasa anataka kuvujisha picha mtandaoni alizonipiga kwa Siri. Sijui Nifanyaje?

    Tukiwaambia mtulize nyuchi zenu mpaka muolewe mnatuona washamba Sasa tulia dawa ikuingie. Na usipo kuwa makini itakuwa mtumwa wake maisha yako yote.
  9. ITR

    JamiiForums Tanzania Wakenya wamewashindwa wahamiaji haramu wasomali wameona wanyonge wao ni Warundi? Hii ni nini??

    Wasomali sio wanyonge kiivyo ndugu kuwaletea usenge na wao wanakufanyia ushenzi. Hata kwenye vurugu dhidi ya waheni huko S.afrika huwa hawaguswi.
  10. ITR

    JamiiForums Tanzania Kabla JK hajajitokeza kwenye shughuli yoyote lazima zitangulie kwanza taarifa za ugonjwa au msiba fake

    Mkuu Kila mtu atakufa na unaweza kukuta ww una muda mfupi sana wa kuendelea kuwepo hapa dunia ukilinganisha na yeye. Kifo sio adhabu Kwa waovu bali kifo ni hatina ya Kila binadamu awe mwema au muovu.
  11. ITR

    JamiiForums Tanzania Tumseme vibaya Magufuli kwa yote na mimi sijawahi kua mufuasi wake ila ukweli ni kua Magufuli hakua anaupenda sana Urais kama Samia

    Katika alama inayo onesha upumbavu wa muafirika basi ni wafuasi wa magufuri. Huyo Magu kama hakuwa na tamaa na urais kwanini aliubaka na kupora uchaguzi wa mwaka 2020,akakataza vyombo vyote vya habari kurusha mikutano ya wagombea wenzake akawa anatangazea yeye tu? Siasa za chuki zote unazo...
  12. ITR

    JamiiForums Tanzania Trafiki atembezewa kichapo na Mwananchi Mwenge, Mwanajeshi aingilia Kati. Sasa itakuaje?

    Arudi uraiani akiwa mzima hivi unajua kesi ya kumpiga asikali akiwa kwenye kazi yake? Kiufupi hakuna rangi ataacha kuiona.
  13. ITR

    JamiiForums Tanzania Itakuwaje siku Samia akiingia JF asome watu wanavyomchukulia?

    Hata mm hilo ndo linanishangaza hata Leo hii ccm ikikubali kuweka tume huru ya uchaguzi bado ina nafasi kubwa ya kushinda ila huu upumbavu wa Magu kutaka kufuta upinzani na kurazimisha ushindi wa asimia 97 Kwa ccm ndo umeifikisha nchi kwenye hali hii. Na huyu mama alivyo kilaza akajii Giza...
  14. ITR

    JamiiForums Tanzania Itakuwaje siku Samia akiingia JF asome watu wanavyomchukulia?

    Mkuu kumuombea mtu kufa ni ujiga kwa sababu kifo kwa binadamu sio adhabu bali wajibu bora hata ingekuwa unamuombe kwenda jera Kwa sababu jera ni adhabu ya kidunia. Alafu hata kama kweli kifo kingekuwa ni adhabu Kwa waovu ww una uhakika gani iwapo ww ni mtakatifu kumzidi Samia mbele ya huyo...
  15. ITR

    JamiiForums Tanzania Itakuwaje siku Samia akiingia JF asome watu wanavyomchukulia?

    Ni jiwe
Back
Top Bottom