Recent content by ITR

  1. ITR

    JamiiForums Tanzania Marekani yafikwa na upungufu mkubwa wa silaha

    Mm nikadhani una akili kumbe umejaa matope kichwani. Vita ambavyo marekani ametumia nusu ya akiba ya silaha zake muhimu ukiondoa nyukilia ndo unasema sio vita kamili? Ebu nitajie silaha yeyote ya kimkakati ya marekani ambayo haijatumika mpaka sasa ambayo ww unahisi ikitumika inaweza kuisaidia...
  2. ITR

    JamiiForums Tanzania Marekani yafikwa na upungufu mkubwa wa silaha

    Ww jamaa bwana ,yaani Marekani wenyewe wameshangazwa ufanisi wa drone za Iran kiasi cha kushuku kuwa uwenda Urusi inahusika kuipatia teknolojia ya kusaidia kufanya Iran inacho kifanya alafu ww mtawaliwa wa ccm unasema eti drone za Iran sio hatari kwa marekani? Kama sio hatari ebu niambie mwezi...
  3. ITR

    JamiiForums Tanzania Nisamehe sana John Pombe Magufuli mwema wa Africa

    Magufuri alifanya mengi mazuri lakini ni muanzilishi wa siasa za chuki ndani ya nchi hii.
  4. ITR

    JamiiForums Tanzania Je, uwepo wa Dini ni sababu ya Afrika kutokuendelea?

    Mwenye fikira za hivyo ni mpumbavu na hizo fikira zake ndo kikwazo cha maendeleo ya Africa. Utasemaje kuwa uislam ni kikwazo cha maendeleo ya Afrika hali ya kuwa eneo la kusini mwa jangwa la Sahara ambalo ndo kuliko jaa nchi masikini kuliko sehemu yeyote duniani %70 ya watu wake ni wakrsito,aya...
  5. ITR

    JamiiForums Tanzania Je, uwepo wa Dini ni sababu ya Afrika kutokuendelea?

    Ww ndo aina ya watu wapumbavu anao wazungumzia mtoa mada . Malawi,zambia,uganda,zimbabwe,congo nchi ambazo idadi ya waislam hawafiki hata %5 zina nn kuizidi Tanzania,Senegal,au Tunisia zenye waislamu wengi ? Au dodoma yenye waksito wengi ina kipi cha ajabu kuizidi Tanga yenye waislamu wengi...
  6. ITR

    JamiiForums Tanzania Iran muda mwingine ukimfikiria kama kichekesho. USA ndio anakupiga wazi wazi we unaenda kuwatisha majirani zako

    Una kiwango gani cha elimu kwanza tuanzie hapo.
  7. ITR

    JamiiForums Tanzania Kwa huu mwenendo wa bei za mazao, je wakulima ndio misukule wa kulisha taifa?

    Kinacho panga bei ya mazao sio serikali bali ni kutokana na wingi wa mazao na uhitaji bidhaa yeyote inapo kuwa nyingi sokoni ikazidi uhitaji huwa ni razima ushuke bei. Kwa sasa ni kipindi cha mavuno na sehemu nyingi mwaka huu mahindi yameiva sana ni mengi sana ni razima yashuke bei ila kadili ya...
  8. ITR

    JamiiForums Tanzania Je, Tanzania inaweza kusimamishwa uanachama wa Jumuiya ya Madola isipotekeleza mapendekezo yake?

    Muanzilishi wa siasa za chuki ndani ya nchi hii ambazo zinaendelezwa na Samia ni mwanaume anaye itwa Magufuri kwahiyo hatutakiwi kumchagua mwanaume aongoze eti kwa sababu ya uovu wa Magu?. Kuchukua ujinga wa mtu mmoja ukauunganisha na jinsia yote pia ni upumbavu na kukosa akili.
  9. ITR

    JamiiForums Tanzania Wenye magonjwa makubwa karibu tuliwazane na kujulishana dawa

    Mkuu kuna mdau amekuwekea picha yake hapo chini bila shakq utakuwa umekajua.
  10. ITR

    JamiiForums Tanzania Wenye magonjwa makubwa karibu tuliwazane na kujulishana dawa

    Sema na jf nao wanazungua yaani ningekuonesha picha ungekajua hako ka mmea yaani kamejaa mitaani nata hapo nyumbani kwako unaweza kuta vimeota hapo nje. Kinaota kwa kutambaa chini na kinakuwa na majani yake yana rangi ya kijani iliyo changanyikana na zambarau. Ebu jaribu kuangalia kwenye gugo...
  11. ITR

    JamiiForums Tanzania Wenye magonjwa makubwa karibu tuliwazane na kujulishana dawa

    Nimejaribu kupandisha picha lakini inakataa sijajua tatizo ni nini ila ni mmea umjaa mitaani tu ni kama magugu tu na ukiulizia watu wengi wanaujua.
  12. ITR

    JamiiForums Tanzania Wenye magonjwa makubwa karibu tuliwazane na kujulishana dawa

    Ulizia watu wanao jua usije ukachukua mmea mwingine mkuu alafu ukifanikiwa kupata jitahidi kunywa kwa muda mrefu kidogo huwa inaanza kuonesha matokeo kuanzia wiki mbili mpaka tatu.
  13. ITR

    JamiiForums Tanzania Wenye magonjwa makubwa karibu tuliwazane na kujulishana dawa

    Dah nimejaribu kupandisha picha yake inagoma sijajua tatizo nini . Ila mziwa ziwa ni kimmea fulani hivi kidogo kinasitawi kwa kutambaa chini na hata kikisitawi kwa kwenda juu ni kifupi na huwa na mitaani vimejaa vingi sana. Ww jaribu kuulizia watu wengi watakuwa wanakajua.
  14. ITR

    JamiiForums Tanzania Wenye magonjwa makubwa karibu tuliwazane na kujulishana dawa

    Hata mm vidonda vya tumbo vimenisumbua karibia ni mwaka mzima na nimetumia dawa nyingi za kienyeji na hospital ila kwa sasa naendelea vizuri baada ya kukomaa na dawa za kienyeji. Kwa ishu yako ya didonda vya tumbo ebu jaribu kutafuta mmea mmoja unaitwa mziwaziwa ungoe na mizizi yake alafu ioshe...
  15. ITR

    JamiiForums Tanzania Wenye magonjwa makubwa karibu tuliwazane na kujulishana dawa

    Umejaribu kutumia dawa za kienyeji?
Back
Top Bottom