Kwa hiyo siku akifa hutoenda kumzika Kwa sababu ni ccm?
Yaani umkane au ukosane na ndugu yako kisa Wana siasa ambao nao wapo wanatafuta madaraka ili familia zao zineemeke?
Lisu mwenyewe ambaye amefungwa jera katoa pole kwani yeye ni mjinga?
Kuwa status sio lazima uwe na madaraka au uwe tajiri.
Unaweza kukuta ni kiongozi katika mambo ya kiimani au anaweza kupoteza kazi yake na ikawa ngumu kupata nyingine ,lakini hata kama sio mtu maarufu vip uko tiyari baba ,kaka,watoto zako waone uchi wako au waone video ukifanya uzinzi na...
Mkuu acha kuchukulia mambo kirahisi namna hiyo.
Je huyu mleta mada unajua ana sitatas gani ndani ya jamii,au anafanya kazi gani inayo muweka mjini?
Au umejuaje kama ana watoto Kwa hiyo awe tiyari watoto wake waone uchi wake ?
Mm nadhani afanye Kila mbinu kuhakikisha hizo picha hazivuji iwe Kwa...
Mkuu Kila mtu atakufa na unaweza kukuta ww una muda mfupi sana wa kuendelea kuwepo hapa dunia ukilinganisha na yeye.
Kifo sio adhabu Kwa waovu bali kifo ni hatina ya Kila binadamu awe mwema au muovu.
Katika alama inayo onesha upumbavu wa muafirika basi ni wafuasi wa magufuri.
Huyo Magu kama hakuwa na tamaa na urais kwanini aliubaka na kupora uchaguzi wa mwaka 2020,akakataza vyombo vyote vya habari kurusha mikutano ya wagombea wenzake akawa anatangazea yeye tu?
Siasa za chuki zote unazo...
Hata mm hilo ndo linanishangaza hata Leo hii ccm ikikubali kuweka tume huru ya uchaguzi bado ina nafasi kubwa ya kushinda ila huu upumbavu wa Magu kutaka kufuta upinzani na kurazimisha ushindi wa asimia 97 Kwa ccm ndo umeifikisha nchi kwenye hali hii.
Na huyu mama alivyo kilaza akajii Giza...
Mkuu kumuombea mtu kufa ni ujiga kwa sababu kifo kwa binadamu sio adhabu bali wajibu bora hata ingekuwa unamuombe kwenda jera Kwa sababu jera ni adhabu ya kidunia.
Alafu hata kama kweli kifo kingekuwa ni adhabu Kwa waovu ww una uhakika gani iwapo ww ni mtakatifu kumzidi Samia mbele ya huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.