Recent content by ITR

  1. ITR

    Visa vya Wajawazito kwa waume zao

    Yeye anadai eti harufu yangu ina mnukia vibaya . Sasa siku moja nikatoka huko na nyege zangu nikamuomba game akazingua sinikajaribu kumshika kwa nguvu aise alinitapikia kifuani na siku hiyo alitapika usiku mzima hakulala mpaka nikampeleka hospital akatundikiwa diripu za maji alipo toka hospital...
  2. ITR

    Visa vya Wajawazito kwa waume zao

    Wa kwangu ana mimba ya miezi 2 lakini cha moto nakiona. Kwanza ananichukia mpaka siwezi kuelezea. Pili papuchi sasa hivi naisikia kwenye bomba maana amehama mpaka chumba.
  3. ITR

    USA na mkakati kuidhoofisha nchi za Gulf kupitia Iran

    Ebu tusaidie kutuambia ni nguvu gani ambayo Marekani hajaitumia mpaka sasa ambayo unahisi akiitumia anaweza kumaliza vita ndani ya siku 5 hizo unazo sema? Hivi kwanza kabla ya kuropoka unajua umuhimu wa nchi za ghuba kwenye uchumi wa Marekani?
  4. ITR

    Donald Trump atangaza kusimamisha vita na Iran kwa siku 5 kuanzia leo

    Trump naye haeleweki mara Iran hakuna viongozi wa kufanya nao mazungumzo wote wameuawa mara tupo tunafanya mazungumzo sasa kuchukue kipi na tuache kipi.
  5. ITR

    Trump aipiga mkwara Greenland (Denmark) na NATO kuhusu vita ya Iran. Iran yasema safari hii itailinda NATO

    Suala la uwepo wa mzayuni hakubadilishi tafsiri ya ushindi wa vita. Kama malengo yao yaliyo wapeleka vitani hayaja timia ni wanakuwa wameshindwa vita bila kujali upande wa pili umepoteza vingapi. Na sidhani kama kuna nchi inayo anzisha vita kwa ajili ya kwenda kuuwa wanasiasa na viongozi wa kijeshi.
  6. ITR

    Trump aipiga mkwara Greenland (Denmark) na NATO kuhusu vita ya Iran. Iran yasema safari hii itailinda NATO

    Mkuu ushindi wa vita huwa hauwamliwi hivyo bali huwa una amliwa na kutimiza malengo yaliyo kupeleka vitani. Mfano Marekani aliuwa watu zaidi ya milion1 nchi Vietnam na Marekani ilipoteza watu elfu 50 tu lakini historia imeandikwa kuwa Marekani alishindwa vita dhidi ya Vietnam.
  7. ITR

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Watu wa Israel nadhani ndo watu pekee wenye miili ya chuma hapa duniani maana kombora linapiga na kusambaza mtaa mzima ila hakuna anaye kufa bali wanajeruhiwa tu.
  8. ITR

    The financial times: Iran inapata faida kubwa kwenye vita, Urusi yaondolewa vikwazo

    Unajua inahitajika miaka mingapi ili kujenga miundo mbinu ya kusafilisha mafuta kutoka ghuba mpaka Israel?
  9. ITR

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ila Trump bwana anasema kuwa angependa kufanya mazungumzo na Iran ila hana wa kuzungumza nae jwa sababu viongozi wete wameuawa.
  10. ITR

    Hivi wanawake huwa hawaoni kero kuvaa mavazi yanayowatesa wenyewe?

    Mkiambiwa mwanamke hajawahi kueleweka anataka nn muwe mnaelewa.
  11. ITR

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kutokuwepo kwa Marekani ndo ingekuwa salama kwao kwa sababu asingepata sababu ya kuwashambulia mbona hujiulizi ni kwanini Iran Hajashambulia nchi kama Afghanistan,Armenia au Pakistan?
  12. ITR

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kiufupi hizi nchi za kiarabu zinasitahili hichi zinacho kipata maana ripot zinaonesha kuwa Saudia nyuma ya pazia ilikuwa ikishirikiana na Israel kumshawishi Trump aishambulie Iran sasa watulie wale matunda ya kitu walicho kuwa wakikitaka.
  13. ITR

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Sasa mbona mpaka sasa hivi huyo Marekani ameshindwa kuzilinda zina shambuliwa kila siku?
  14. ITR

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Haaaaa eti wamedhibiti ww jamaa una ushabiki wa kifala kweli. Yaani mlitegemea eti Iran iharibiwe vyanzo vyake vya kiuchumi alafu yeye akae kimia la msingi hapa tujiandae kununua mafuta lita 10,000 tu.
  15. ITR

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Yeye kasema atashambulia vituo vituo vyenye ubiya na makampuni ya Kimarekani na mpaka sasa amesha piga viwili.
Back
Top Bottom