Na sio chuoni tu mpaka kwenye ofisi za wizara na ikulu viboko vilitakiwa viwepo maana huko ndo kumejaa wapumbavu na watia hasara taifa kuliko hata huko shuleni.
Ingewekana viboko vilitakiwa viwe mpaka vyuoni maana watoto wanatoka sekondari wakiwa na nidhamu ila wanaenda kuharibikia vyuoni kwa sababu ya kupewa uhuru na kutopigwa.
Kupitia uchaguzi hata kama ulikuwa ni wa kiini macho.
Kwani samia hata angetaka kukaa madarakani bila hata kufanyika kwa uchaguzi mngemfanya nini?
Ila ni razima afanye uchaguzi hata kama ni wa kimaigizo ili kutafuta uhalali wa kisheria.
Kwanza tafsiri ya mapinduzi unaijua au unaongea tu?
Tafsiri ya mapinduzi ni kutaka kumuondoa serikali iliyoko madarakani kinyume na taratibu zilizo wekwa kwa mujibu wa nchi husika.
Kwa mujibu wa katiba ya Tz serikali ya Tz inabadilishwa kwa uchanguzi na si kwa njia nyingine ukijaribu...
Bila shaka hilo swali la ana akili timamu unatakiwa ujiulize ww iwapo una akili timamu.
Maana mtu mwenye akili timamu hawezi kujifanya mjuaji kwenye mambo asiye na ufahamu nayo.
Kwahiyo hujui kuwa kwa mujibu wa katiba ya Tz uraisi huwa unakoma baada ya raisi mpya kuapishwa?
Na kama serikali...
Hakuna kitu kama hicho bwana hapa kwenye mji ninapo kaa nilichelewa kidogo kwenda vibanda umiza nimezunguka mji mzima vibanda umiza vyote vimetapika mpaka mm na washikaji wengine tukarazimika kurudi kwenda kuangalizia nyumbani tu.
Suala la jf kukosa wachangiaji ni janga la jf nzima na sio...
Kama marekani ameshinda mazungumzo sasa hivi anataka ya nn Iran hali ya kuwa aliyakataa tangu mwanzo mpaka akamua kuanzisha vita?
Kwani lengo lilimpeleka Trump vitani ni horumuz au ni nyukilia ,makombora ya Iran na kubadilisha mfumo wa uongozi wa Iran?
Kwanza unajua mpaka sasa Trump amesha...
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana ni bora ukanyamaza kuepuka aibu ndogo ndogo.
Yaani leo hii umuuwe samia alafu uongozi wa nchi uchukuliwe na Abdul au Nchimbi useme eti umfanya regime change?
Hata leo hii ikatokea raisi wa Tz na baraza lake la mawaziri wakauawa wote iwapo ccm itaweza kubaki...
Kitu kinacho mfanya Iran awe super power si uwezo wake wa kijeshi na kiuchumi tu bali pia jographia yake imekaa kimkakati na ina umuhimu mkubwa duniani.
Imagene kieneo kidogo cha bahari chenye upana wa km 36 tu kimeifanya dunua nzima kwenye muyumbo wa kiuchumi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.