Ww ndo aina ya watu wapumbavu anao wazungumzia mtoa mada .
Malawi,zambia,uganda,zimbabwe,congo nchi ambazo idadi ya waislam hawafiki hata %5 zina nn kuizidi Tanzania,Senegal,au Tunisia zenye waislamu wengi ?
Au dodoma yenye waksito wengi ina kipi cha ajabu kuizidi Tanga yenye waislamu wengi...