Tatizo Tz kila kitu huwa ni kuingiza siasa,mfano sasa hivi serikali ikianzisha sheria kali sana kuhusu usafi kama Rwanda wana siasa wataitumia kama ajenda na mtaji wa kisiasa na watazunguka nchi nzima kuwaelezea wtz jinsi wanavyo nyanyasika kwenye nchi yao kwa kutozwa faini kiholela.
Mpaka...
Trump anajaribu kuficha aibu ya kushindwa vibaya na Iran kwa kuivamia Cuba lakini anaweza jikuta anajiiza kwenye tope zaidi vita haijawahi kuwa rahisi kama wengi wanavyo fikiri.
Hata kule Venezuela kazi ilikuwa rahisi kwa sababu ya usariti wa viongozi wa jeshi tofauti na hapo isingekuwa rahisi...
Lisasi haijawahi kuzoeleka kwa mtu yeyote bali mtu anapo kata tamaa na aina ya maisha anayo ishi huwa yuko tiyari hata kufa maana anakuwa hana cha kupoteza.
Bado mnaendelea na hadithi zenu za kipumbavu na kusadikika kuwa wananchi wa Iran hawaipendi serikali yao pamoja na kuumbuka kwote huko?
Alafu Iran ni taifa la watu walio elimika hivyo uvamizi wa marekani na Israel hawauchukulii kama vita dhidi ya serikali yao bali wanauchukulia kama uvamizi...
Hilo suala la benki nimetolea mfano sijamaanisha kuwa huyo jamaa ni mfanya kazi wa benk.
Kwanza una uhakika gani kama huyo jamaa na shemeji yake wamesomea fani moja?
Je kama jamaa amesomea ualimu alafu shemeji yake amesomea udokta?
Ya kwamba amchukue amuingize kwenye sekta ya ualimu hali ya kuwa...
Mbona umepaniki mkuu, jamaa angekuwa na roho mbaya angemruhusu huyo shemeji yake akae kwake miaka zaidi ya 6?
Yaani huoni tatizo kwa mwanaune mzima mwenye nguvu ambaye unafaa kuwa na familia kukaa kwa mtu miaka sita unalishwa kama mtoto mdogo?
Nimesha kwambia kuwa kukaa kwa mtu ili kuweka mambo...
Wenda hata ww ni kama ambaye ongelewa na mtoa mada.
Ya kwamba huyo mleta mada kama atakuwa ameajiliwa benk amchukue huyo shemeji yake ampeleka alipo ajiliwa amuweke uko awe anashinda huko benk? uko sawa kweli ww ?
Alafu kwanza kijana wa miaka 25 una nguvu ,huna ugonjwa wowote ,una viungo vyote...
Kwenye maelezo ya mleta mada amesha muambia akajifunze ufundi yuko tiyari kumlipia ada lakini amekataa kwa hiyo aendelee kumuacha azidi kupotea ?
Kukaa kwa mtu kipindi ambacho mambo hayakuendei vizuri sio jambo baya lakini unatakiwa kukaa kimkakati na sio kwenda ulna kujigeuza kama mtoto wake...
Nadhani hata yeye ni aina ya vijana kama huyo shemeji wa mleta mada.
Sasa huyo shemiji yake angekuwa kama yeye hata huyo dada yake angekubali aolewe naye?
Kukaa kwa mtu kipindi ambacho mambo yako hayajakaa sawa sio tatizo lakini unatakiwa kuishi kimkakati ukiwa unajua kuwa hapo sio kwako hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.