Yeye anadai eti harufu yangu ina mnukia vibaya .
Sasa siku moja nikatoka huko na nyege zangu nikamuomba game akazingua sinikajaribu kumshika kwa nguvu aise alinitapikia kifuani na siku hiyo alitapika usiku mzima hakulala mpaka nikampeleka hospital akatundikiwa diripu za maji alipo toka hospital...
Wa kwangu ana mimba ya miezi 2 lakini cha moto nakiona.
Kwanza ananichukia mpaka siwezi kuelezea.
Pili papuchi sasa hivi naisikia kwenye bomba maana amehama mpaka chumba.
Ebu tusaidie kutuambia ni nguvu gani ambayo Marekani hajaitumia mpaka sasa ambayo unahisi akiitumia anaweza kumaliza vita ndani ya siku 5 hizo unazo sema?
Hivi kwanza kabla ya kuropoka unajua umuhimu wa nchi za ghuba kwenye uchumi wa Marekani?
Trump naye haeleweki mara Iran hakuna viongozi wa kufanya nao mazungumzo wote wameuawa mara tupo tunafanya mazungumzo sasa kuchukue kipi na tuache kipi.
Suala la uwepo wa mzayuni hakubadilishi tafsiri ya ushindi wa vita.
Kama malengo yao yaliyo wapeleka vitani hayaja timia ni wanakuwa wameshindwa vita bila kujali upande wa pili umepoteza vingapi.
Na sidhani kama kuna nchi inayo anzisha vita kwa ajili ya kwenda kuuwa wanasiasa na viongozi wa kijeshi.
Mkuu ushindi wa vita huwa hauwamliwi hivyo bali huwa una amliwa na kutimiza malengo yaliyo kupeleka vitani.
Mfano Marekani aliuwa watu zaidi ya milion1 nchi Vietnam na Marekani ilipoteza watu elfu 50 tu lakini historia imeandikwa kuwa Marekani alishindwa vita dhidi ya Vietnam.
Watu wa Israel nadhani ndo watu pekee wenye miili ya chuma hapa duniani maana kombora linapiga na kusambaza mtaa mzima ila hakuna anaye kufa bali wanajeruhiwa tu.
Kutokuwepo kwa Marekani ndo ingekuwa salama kwao kwa sababu asingepata sababu ya kuwashambulia mbona hujiulizi ni kwanini Iran Hajashambulia nchi kama Afghanistan,Armenia au Pakistan?
Kiufupi hizi nchi za kiarabu zinasitahili hichi zinacho kipata maana ripot zinaonesha kuwa Saudia nyuma ya pazia ilikuwa ikishirikiana na Israel kumshawishi Trump aishambulie Iran sasa watulie wale matunda ya kitu walicho kuwa wakikitaka.
Haaaaa eti wamedhibiti ww jamaa una ushabiki wa kifala kweli.
Yaani mlitegemea eti Iran iharibiwe vyanzo vyake vya kiuchumi alafu yeye akae kimia la msingi hapa tujiandae kununua mafuta lita 10,000 tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.