Kwa sasa ngumu kubadili jina maana passport ya nyuma walichukua biometrics (alama za macho na vidole) kwahiyo system itamtema na ndipo utakapopigwa pingu fasta. Haya ya kubadili jina ilkuwa enzi zileee.
Kaka nikweli hapo ndo wana science hawajatoa maelezo kwanini huambukizwi ila wana maelezo ya kutisha raia kwamba hiyo kitu weka mbali na watoto
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.