Recent content by itongo

  1. I

    Watu wa dini, batizeni watoto wenu majina yenu ya kiafrika, achaneni na majina ya wazungu na waarabu

    Huu ujumbe murua wa kumalia mwaka Sent using Jamii Forums mobile app
  2. I

    Vijana jifunzeni Kijerumani Kazi nyingi

    Kuna app inaitwa Duolingo pakua mkuu
  3. I

    Nilipigiwa simu na polisi na kuambiwa simu nayoitumia ni ya wizi, hivyo wanaomba ushirikiano

    Una bahati haikuhusika na mauaji ungezeekea mahabusu
  4. I

    Waliowahi kuomba na kupata Visa tukutane hapa tupeane uzoefu

    Nafkiri visa ngumu zaidi Ni ya Australia maana hata wazungu wanakimbilia huko
  5. I

    Waliowahi kuomba na kupata Visa tukutane hapa tupeane uzoefu

    Mwache akapauke kazoea kuchekacheka na salimia kila unayekutana naye kama hajanuka mdomo week nzima
  6. I

    Waliowahi kuomba na kupata Visa tukutane hapa tupeane uzoefu

    Kwa sasa ngumu kubadili jina maana passport ya nyuma walichukua biometrics (alama za macho na vidole) kwahiyo system itamtema na ndipo utakapopigwa pingu fasta. Haya ya kubadili jina ilkuwa enzi zileee.
  7. I

    Waliowahi kuomba na kupata Visa tukutane hapa tupeane uzoefu

    Je akiulizwa alishawahi omba visa hapo atajibuje
  8. I

    Waliowahi kuomba na kupata Visa tukutane hapa tupeane uzoefu

    Ukiiomba kwamba unaitaka kama souvenir wanakupa
  9. I

    Hivi ndivyo tour yangu katika nchi za Netherlands na Sweden ilivyokuwa

    Mkuu ukimaliza ulaya anza Africa na Botswana na zingine zilizopiga hatua utajifunza mengi maana ulaya watasema Ni weupe
  10. I

    Sam Mahela wa ITV na kipindi cha upande mmoja

    Kwakusema ukweli sikumbuki lini niliangalia tv naona habari ZA humu jamvini zinafikirisha
  11. I

    Leo nimeamini kuwa kutembea na mtu mwenye UKIMWI si kupata UKIMWI

    Kaka nikweli hapo ndo wana science hawajatoa maelezo kwanini huambukizwi ila wana maelezo ya kutisha raia kwamba hiyo kitu weka mbali na watoto Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom