Nadhani unaamaanisha kuna athari gani kisheriais,kuingilia faragha za marehemu no kosa labda kama utaweza kudhibitisha nia njema ya kufanya hivyo,pili we kupiga na kusambaza picha ya marehemu hakuzuii wajibu wako kuisaidia polis juu ya uhusika wako na picha uliyotuma.mi mtizamo tu c mtaalam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.