Recent content by itezii

  1. I

    Godbless Lema ahudhuria mazishi ya Mbwa wa Nassari

    wangemfunika na sanda basi ieleweke moja
  2. I

    Godbless Lema ahudhuria mazishi ya Mbwa wa Nassari

    Mimi ni chadema lakini katika hili sijakubaliana nalo hata.....
  3. I

    Mbeya: Viongozi wa Bodi ya UWAMU SACCOS wasimamishwa kazi kwa tuhuma za ubadhirifu wa Mil. 248

    Maskini Saccos yangu................kila mahali ni fraud tu.
  4. I

    TTCL jitahidini kwenda na kasi ya Mhe. Rais

    TTCL mtandao unoongaza Tanzania Big up Mhe Kindamba natambua uwepo wako maana kwa muda mfupi tu umeweza kusambaza mtandao wa 4g,maeneo mengi nchini hao wanaoongea ongea ni wa kuasamehe tu naona wanasahau kuwa TTCL ni serikali kwa 100% na manunuzi ya serikali yana taratibu zake tofauti na hao...
  5. I

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Nimeumia sana... in short im speechless nakumbuka watu waliotangulia kwaajili ya kuipigania nchi yetu kama Stan katabalo na "Loliondo gate"
  6. I

    Msaada: Nimetuma picha chafu kwa ninaowaheshimu

    Hahaaa Hizi mambo bana,kuna mmoja alituma picha zake mwenyewe kwa group la busara kama usemavyo. Afu akatia" niangalie jinsi nilivyo" Baada ya dk 2 tukaona "left" usiombe yakukute aisee..
  7. I

    Kandambilimbili ametutoka RIP

    Nyie........... uzi wa miaka saba nyuma...................
  8. I

    Majonzi yanazidi kuja: Nyumba 300 kubomolewa Toangoma

    Ebu fikiria kazini kimenuka pengine vyeti feki, Unarudi nyumbani nako unabomolewa ulipokuwa unapategemea kupumzisha akili....
  9. I

    Majonzi yanazidi kuja: Nyumba 300 kubomolewa Toangoma

    Walisema tuzae tu maana elimu bure, sasa sijui hao wtt watakuwa wanatoka kwenye miti wanapoenda kusoma elimu bure This world is not fair kwa kweli
  10. I

    Bomoa bomoa barabara ya Morogoro inaendelea

    mpaka msimu uishe tutanyooka na kusoma namba zote mpaka za baiskeli
  11. I

    KISUTU, DAR: Tundu Lissu afikishwa Mahakamani Kisutu, akosa dhamana

    FOR SURE naadika kwa herufi kubwa
  12. I

    Mama aua mwanawe Dar kwa kumpiga usiku kucha

    Hao binadamu walisubiri maafa yatokee ndipo wapate cha kusema...nao wameshiriki kuua indirect Japo kuna watu in mabaunsa usipime, nimelinganisha na hapa mtaani kwetu kuna mama hasogelewi na binadamu awaye yeyote huenda ndo wale wale
  13. I

    Nahitaji rafiki wa kike

    Mi nna miaka 58 ntakufaa?:D:D:(
  14. I

    Msaada: Inawezekana nina matatizo makubwa katika mahusiano

    Na kwa sababu kwa muda mrefu hujafanya hivyo anza kwa speed ndogo,, mfano unaweza kununua mikate hata miwili unapita kwa mmoja wapo afu ukifika unasema nilikuwa napita njia nikaona niwapitie niwasalimie then hukai sana unaondoka zako, na kwa mwingine tena siku nyingine na nyingine baadae...
  15. I

    Msaada: Inawezekana nina matatizo makubwa katika mahusiano

    Jitahidi ,,, angalau kwa watu wachache wa karibu yako,,,,, "wa nyumbani",,,,mi nimeshaanza ila sijilazimishi nafanya for leisure ,,usiilazimishe nafsi.
Back
Top Bottom