Usisahau pia katika vyuo vikuu inaongoza kwa kutoa viongozi vyuo vikuu hususani marais na sababu ni uwazi msimamo na sio wanafiki ila wanaoleta mada kama hizi ni za kuwagawa watanzania kikabila kikanda tuache ndo kitu mwalimu Nyerere alichokitekeleza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.