Hahaha huyu jamaa inaonekana anaweza kucopy na kupaste... Issue hapa inaonekana hazingatii kabisa mahali ambapo anatakiwa kupaste doc au fold husika,, na hili ni tatizo zaidi, ni bora anayejua kucopy ila hajui kupaste kuliko unajua kucopy na kupaste ila hujui mahali unapotakiwa kupaste.
Kwa vile mambo bado ni mabichi tusubiri , jambo la maana hapa ni kuendelea kufwatilia kwa karibu mambo yanavyoenda.. Maana baadhi ya kauli zinachekesha, kwann kama serikali kupitia jeshi la polisi hawakufwatilia mambo haya mapema.???? Mim nashawishika kuamin kuwa serikali yetu bado ina vigogo...
Mimi nafikiri ni vyema tuache Mahakama wafanye kazi yao kama kweli wanaifanya kama mhimili huru.. Ila ikumbukwe kwamba siku zote ukweli hujidhihirisha hata kama uongo utakaa kwa muda fulan lakini siku moja watu wataujua ukweli. Hongeren makamanda kwa kuonyesha kuwa sisi c wakorofi wala wavunjifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.