Recent content by itala

  1. I

    JamiiForums Tanzania Hizi ndo njia kuu 5 za kuondoa 'hangover' ya pombe asubuhi ukishaamka

    Matango na matunda kwa ujumla yanasaidia sana....
  2. I

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Ajali mbaya yatokea kwenye mteremko wa Mlima Igawilo. Watu watano wamefariki dunia

    Adui mkubwa wa barabarani kwa sasa ni malori. Madereva wengi wa malori ni walevi kupindukia, ndio maana karibu kila ajali lori lazima lihusike. Vilevile uchovu wa madereva hawa unachangia ajali kwa kiasi kikubwa.
  3. I

    JamiiForums Tanzania Ushauri, Maoni, Mapendekezo na Pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

    Kwako Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh. Paul Makonda Habari! Kwanza nakupongeza kwa jitihada zako za dhati katika kuboresha hali za wananchi wako wa mkoa hata mikoa mingine ya nchi hii. Jambo kubwa leo ni jinsi unavyotaka kuwasaidia wakina mama, na dada zetu waliochiwa mzigo mkubwa wa ulezi wa...
  4. I

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe maisha enzi ya Rais mwelewa na mtoto wa mjini Jakaya Kikwete

    Vilaza wengi walikuwa maboss....wenye vyeti walikuwa intenship.
  5. I

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU Temeke wakamata watu watatu kwa rushwa ya milioni 2

    Hongera kwa TAKUKURU, ila kujifanya usalama wa taifa mambo ya kizamani sana... zama za kina dude hizo zimepitwa.
  6. I

    JamiiForums Tanzania NMB bank badilikeni, kazi za mazoea hazifai

    Watumishi wengi wa NMB bank wamepata kazi kwa kujuana. Hiyo ndio shida yao kuu...Most of them wameshikwa mikono na ndio kinachowapa kiburi. ila kuwa makini, usije kuhamia bank zinazofilisiwa
  7. I

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Mzee Kingunge Ngombale–Mwiru afariki dunia! Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi

    iwe sehemu ya kampeni ya Kinondoni au!!!
  8. I

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Mzee Kingunge Ngombale–Mwiru afariki dunia! Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi

    RIP mzee wetu...Hakika jina lako lilikuwa kubwa sana nchini kwetu. Mpaka kufikia kubadilishwa maana. Kingunge umekufa. Tangulia mbele za haki, ila tuna 'vingunge' wengi wamebaki.
  9. I

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    kwani like ngapi zinatosha?
  10. I

    JamiiForums Tanzania Tatu mzuka yazua gumzo Tanzania, Serikali yaombwa kuingilia kati suala hili yadaiwa eti ni matapeli

    Tunategemea nchi hii kuwa na matahira wengi miaka ijayo. Hii michezo ya kubahatisha inatuharibu akili.
  11. I

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Serikali kumshughulikia anayejiita Nabii Tito. Afika Kituo Kikuu cha Polisi kwa mahojiano

    ...ngunguni anapoonekana anatiwa dole tu...
  12. I

    JamiiForums Tanzania Hello

    Ahsante sana
  13. I

    JamiiForums Tanzania Hello

    Yahhh...kitambo sana mkuu.
  14. I

    JamiiForums Tanzania Hello

    Ahsante
  15. I

    JamiiForums Tanzania Hello

    Ahsante...
Back
Top Bottom