MKWEPA KODI kwahiyo kama China mlipa kodi anapigwa risasi kwa hiyo na Tanzania walupa kodi kuanzia wanaochelewa kulipia motor vehicle wote wapigwe risasi harafu mwakani mkose hata hicho kidogo hizi zitakua akili au matope usiige kunya kwa tembo mtoa post
MKWEPA KODI kwahiyo kama China mlipa kodi anapigwa risasi kwa hiyo na Tanzania walupa kodi kuanzia wanaochelewa kulipia motor vehicle wote wapigwe risasi harafu mwakani mkose hata hicho kidogo hizi zitakua akili au matope usiige kunya kwa tembo mtoa post
Mtoa post umekula maharage ya wapi vile maoni yako ni sawa na mtu anaekubali kutupa kinyesi cha binadamu nje ya makazi yake unapotosha ukweli nyumba zinazovunjwa ni zile zilizojengwa kwenye maeneo hataridhi yaliyokatazwa au sehemu za wazi za kuchezea watoto wa maskini
Mtoa post umekula maharage ya wapi vile acha kzishi kimazoea mtumishi wewe unazani rais hakuwaona hao?,au unazani rais alikulupuka?, mijitu mingine shida tupu:angry:
Humu jamvini kuna watu ukisoma post zao unspata kiungulia kabisaa eti watu wanamchagulia rais mtu wa kumteua kuwa waziri hiki ni kituko live u comedian mwingine shidaaa
Watu wengine kabla ya kufikiria kutunga habari ya ku post sijui wanakua wamekula maharage ya wapi vile hii post ni utumbo mtupu suala la kutolipa kodi au kukwepa kodi na uhujumu uchumi lina mahusiano gani na itikadi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.