Recent content by isukare

  1. I

    Mzalendo Tundu Lissu

    Mama Joyce Ndalichako yuko sahihi alipoweka wazi kuwa Tanzania ina watu waliopita mashuleni na vyuoni; haina wasomi. Aidha, wengi wa watoa mada hawajui wanachokiandika: 1. Kelele za upinzani bungeni huzimwa na za "ndiyooo. . ." 2. Lissu alihusikaje na utayarishaji na utiaji saini mikataba ya...
  2. I

    Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

    Tangu lile sakata la samaki lililosababishia nchi hasara ya mabilioni, naogopa kushabikia mambo nisiyofahamu kama tulivyofanya wakati ule.
  3. I

    Nimemaliza utata kuhusu boeing

    H Hoja ya ZZK si lot pekee. Aidha mnapotosha au hamfuatilii kwa karibu.
  4. I

    Towards Reality: Zitto Kabwe,PrecisionAir, AirTanzania and Boeing Saga!!

    Mtoa mada anaenadana na jina lake, Jingalao. Unazuga kuwa hujui yanayodaiwa na ZZK. ZZK ni mwakilishi wa wapiga kura wake wa Kigoma na watanzania. Kazi ya mwakilishi ni ninikwa maoni yako? Ukiulizwa, wewe ni nani na maoni yako yanawakilisha ya akina nani? 1. Sheria ya manunuzi ya umma imekiukwa...
  5. I

    Mtaalam wa picha za Ndege athibitisha Tanzania kununua "Terrible Teen", lakini...

    Mfumo na sheria ya manunuzi ya umma ipo ila ilikiukwa kwa madai ya kuwa na ndege zetu. Sheria na taratibu zinapokiukwa lazima kunakuwa na jambo.
  6. I

    Saed Kubenea: Sijagombea PAC, sijagushi jina wala Zitto hajui MwanaHalisi ilivyoanza

    Kubenea anaangukia kwenye kundi la wanasiasa. Upindishaji wa sheria na mamlaka kungembeba. Lakini kwa kuwa ni mbunge wa upinzani sheria itarejea kumnasa. Safi sana.
  7. I

    Kwa hili Rais Magufuli usije kumtafuta mchawi!!

    Nilwahi kuandika kwenye fbkuwa Bashite atawabeba wahalifu wenzake wa kughushi vyeti. Ndicho kinachotokea! Ulimwengu utatushangaa. What message and impact on our education system has been sent to the public. It is both unbelieva and unforgettable.
  8. I

    Kwa hili Rais Magufuli usije kumtafuta mchawi!!

    Machafuko na hatimaye Mapinduzi ya nchi fulani Kaskazini mwa Afrika yalanza na kijana mmoja mjasiliamali kunyanyaswa na mgambo. Wananchi wakashika silaha. Walikuwa wanasubiri sababu. Wananchi wenye silaha za jadi, mawe, nk. wakapata ushindi dhidi ya askari wenye silaha za kisasa.
  9. I

    Tetesi: Mawaziri wanne wa Awamu ya Nne kuanzisha Chama cha Siasa

    Kua Mawaziri ktk serikali ya awamu ya nne kuanzisha chama kipya cha siasa ni jambo la heri na halizuiliwi. Ni haki ya Watanzania kikatiba. Kuanzisha chama ni rahisi ila kukikuza na kukiimarisha ni kazi ngumu sawa na kupanda mlima mrefu kama ilivyoshuhudiwa kwa ACT Wazalendo ya akina ZZK. ACT...
  10. I

    Wananchi wamshauri Magufuli kuongoza vipindi vinne mfululizo

    Gimmy's usilete humu fikra zenu mfu. Hilo wazo la kubadilisha katiba ya nchi wengine waliisha liona siku nyingi kuwa litaletwa na utawala na vibaraka wa awamu ya tano. Uzalendo ni kufuata katiba ya nchi au kuivunja kwa kisingizio cha uongozi bora? Kumbe ndiyo maana mchakato wa Katiba...
  11. I

    Hapa ndio nimekubali maneno ya babu yetu wa taifa hayati JK Nyerere kwa CHADEMA

    Hapa hakuna hoja ya kujadliwa na watu neutural. Aliyeweka hiyo clip ya maktaba ni wazi kuwa amekabidhiwa na wenyewe kazi ya kuwapigania. Si rahisi mm na ww kuipata hiyo clip kutoka kwenye maktaba ya CCM. Mwanzoni kulikuwa na slagon ya "Zidumu fikra za mwenyeki (wa ccm)". Wakaja kujikosoa na...
  12. I

    Maajabu ya Magufuli: Uchumi wa Tanzania wakua zaidi ya nchi zingine za Afrika Mashariki

    Macro na micro economics za Tanzania zikoje? Mkilijua hilo ndipo mje kutudanganya humu jf. Kikwete aliwaasa kuwa ". . . ya kuambiwa uchanganye na ya kwako . . ." Nenda mitaani ushuhudie jinsi TRA inavyo-harass wananchi kwa kukimbizana nao hata kwa biashara vyenye mitaji ya chini ya laki moja...
  13. I

    Hapa ndio nimekubali maneno ya babu yetu wa taifa hayati JK Nyerere kwa CHADEMA

    Hayo Mwalimu aliyasema miaka mingi wakati ccm na uongozi wake wangali wanamuogopa na kabla ya matukio ya kutisha kutokea nchini. Hata hivyo siku za mwishoni mwa maisha yake alisikika akisema kwa majuto kuwa ". . . ccm si baba yangu wala si mama yangu . . ." akiwa analaani mwenendo wa chama...
  14. I

    Rais Magufuli Vita yako dhidi ya wanyonge inaweza kuigharimu nafasi yako ya urais mwaka 2020

    Wachumia tumbo acheni unafiki. Endeleeni kumdanganya rais. Semeni dira ya nchi ni ipi. Kutumbua majipu?kutozingatia utekelezaji wa kibajeti? Vitisho? Matamko? Au ni kukimbizana na matukio na operesheni: operesheni hewa, operesheni madawa ya kulevya, operesheni tokomeza, nk. ili hali kuna mamlaka...
  15. I

    Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

    A sweet coincidence. Magufuguli amemuomba mfalme wa Morocco na akaahidiwa msikiti ambao gharama yake haijafahamika bado. Makonda naye aliahidi kuwajengea waislamu msikiti unaotarajiwa kugharimu 4.5bln/=. Wakristu tunaamini binadamu hawezi kumhonga mungu. Wanalolifanya akina Makonda ni...
Back
Top Bottom