Towards Reality: Zitto Kabwe,PrecisionAir, AirTanzania and Boeing Saga!!

jingalao hata kama kweli Zito ni mmiliki wa Precision au hata kampuni yoyote kama anachoongea ni legit ni legit tu hakitabadilika na kua utumbo/ uongo.

Kwa kushindwa kuelewa hoja ya msingi haswa ya Zito ndiyo kumepelekea uje kuandika uzi ambao haujakamilika vya kutosha kufanya tuhuma zako kwa Zito ziwe na mashiko.

Unafiki na ujinga unaangamiza Taifa.
Mtoa mada anaenadana na jina lake, Jingalao. Unazuga kuwa hujui yanayodaiwa na ZZK.
ZZK ni mwakilishi wa wapiga kura wake wa Kigoma na watanzania. Kazi ya mwakilishi ni ninikwa maoni yako? Ukiulizwa, wewe ni nani na maoni yako yanawakilisha ya akina nani?
1. Sheria ya manunuzi ya umma imekiukwa ktk manunuzi haya,
2. Utekelezaji wa kibajeti umekiukwa,
3. Kumezuka tuhuma za kupiga dili kwenye aina ya ndege na bei,
4. Imetumika pesa taslimu badala ya utaratibu unaotumika duniani kote wa kununua ndege kwa njia ya malipo kidogo kidogo, na
5. Inadaiwa kuwa PS wa wizara ya fedha na Iukulu wana uhusiano wa kidugu.
Hayo ndiyo mambo yayohitaji ukweli (reality) anaodai mtoa mada.
 
Lakini aliamini kuwa GOT inasabotage biashara ya precision....Je katika kipindi hiki ambapo Serikali inaifufua ATCL Zitto ataweza kuitupa precision na kuiunga mkono AirTanzania??

Maslahi ya watanzania au ya kwake??


Hapo hakuna cha maslahi ya watanzania tuache kuwasanganya wajinga.
Bei ya ndege ni kubwa sana kuinunua kwa pesa taslimu.
Hazitarudi kamwe zaidi ya waliofaidika watafaidika.
Wenzetu wanaowauzia ni makampuni makubwa wanatabia za kutoa shukrani kwa mtu aliyefanikisha ununuzi wa budhaa yao. Shukrani itakua ni maslahi ya mtu.

Tanzania tupo na nchi jirani kama Kenya ,Rwanda na hata Ethiopia amabao wanauzoefu mkubwa sana kwenye usafiri wa ndege.
Hawa pia wanaweza wakawa ni washindani wetu wakubwa kwenye biashara ya ndege. Lakini kutokana na ukweli kuwa kuna watu wameshaona kuwa kuwaambia watanzania kuwa tumenunua ndege ni mtaji wa kisiasa basi hawaangalii tena maslahi ya kiuchumi zaidi ya maslahi ya kisiasa.
Hili ni tatizo kubwa.

Watanzania hawajawahi kushindwa kwenda Kokote kwa sababu ya kukosekana usafiri wa ndege. Ndege haiwezi kuwa kipaumbele cha watanzania.

Hivi uhaba wa chakula uliopo kwenye nchi nyingi duniani tungewekeza mabilioni tuliyoyanunulia ndege kwenye kilimo cha umwagiliaji cha kufa na kupona baada ya miaka 10 tungekuwa wapi ?
Kilimo kingeajiri watu wangapi?
Chakula kikiwa kingi kila mtu angepata unafuu wa maisha na angeweza kusave pesa kwa ajili ya maendeleo. Wawekezaji wa viwanda wangekimbilia nchini mwetu kutokana uhakika na urahisi wa upatikanaji wa malighafi kwa bei nafuu.
Hakuna mwekezaji anayeweza kuwekeza mahali amabapo bei ya bidhaa za wakulima ni ghali.
Uchumi hauwezi kukua kama nchi haina chakula cha kutosha na kuweka akiba.

Nani aliyetuloga tukasahau kuwa kilimo ni uti wa mgongo wa Nchi yetu.

Kwa kweli sioni sababu ya kuendelea kukumbatia ATCL.
Kwenye biashara ya ushindani serikali kamwe haina ubavu wa kushindana na makampuni binafsi makubwa ambayo yameshajizatiti kibiashara. Haya yanaweza hata yakawanunua wataalam wa Ndege zetu na kufanya hujuma kama tunavyoona kwenye huduma za hospitali watu wanaharibu kwa makusudi mashine za kupima wagonjwa ili hospitali binafsi zifanye biashara kwa makunaliano binafsi.
Watu wanaweza kuogopa kwa sababu ya ukali wa mh. Rais kwanye utawala wa awamu hii lakini kwa hulka ya CCM bada ya Magufuli watatuletea Rais mpole na hapo wataanza kupiga kwa kasi mpya mana watakua wamechoka mbaya mifukoni.
Hapo ndipo biashara zote za serikali zitakapoanza kuporomoka kabla ya kurudisha hata robo ya faida.
Tutakua tumepigwa.

Naishauri tu serikali ibaki na jukumu lake la kununua ndege vita za Jeshi lakini sio za biashara ya abiria.
 
Zitto anamuwakilisha nani katika sakata hili...?mwanaKigoma au watu wachache katika biashara ya ndege??

Zitto ndiye aliyeanzisha utata wa kuhusiana na ndege inayotaka kununuliwa tena akiwa hana ushahidi na badala yake anahaha kutafuta ukweli juu ya utata aliuanzisha mwenyewe...probably just to smear the name of the President au shirika letu la ndege.

Zitto haeleweki anahitaji nini hasa katika sakata hili...je ni kuhusu taratibu za manunuzi??
Je ni kuhusu ubovu wa ndege inayotakiwa kununuliwa?

Je ni kuhusu uchakavu wa ndege inayotakiwa kununuliwa ?

Je ni kuhusu bei ya ndege inayotakiwa kununuliwa??

Ukimfuatilia zitto hutaelewa hoja yake ya msingi kuhusu ununuzi wa ndege hizi ni ipi haswa.

KWA NINI ZITTO ANAYAFANYA HAYA??

JIBU LA HAYO LITATOKA KWENYE TWEETS ZA ZITTO KABWE ALIZOZISAHAU.


Wanasema huwezi kufanya uhalifu bila kuacha ushahidi ....!!

Back to the title of the thread.....!!

Here are some facts ...which we should never ignore.....

Zitto Kabwe anaelekea kuwa ni mpenzi kindakindaki wa shirika la ndege la Precision na pengine mmiliki wake.

Zitto alipendelea zaidi serikali iiokoe precision kutoka kwenye poromoko la kufilisika.

Zitto anaamini kuwa serikali ilisabotage precision Air.(nadhani kwa juhudi za serikali kuifufua Air Tanzania ni wazi imani ya zito juu ya hili itakuwa imeongezeka maradufu kulinganisha na ile ya mwaka 2014)


Zitto anaamini serikali inamchukia Shirima mmiliki wa Precision.

Zito hakutaka AirTanzania isimame kamwe !!

HUYU NDIYE ZITTO MZALENDO WA KUONGELEA UNUNUZI WA NDEGE KWA MINAJILI YA KUIFUFUA AIR TANZANIA.

Rejea link hapo chini.


Zitto ni mtu hatari sana kwenye maendeleo ya nchi hii, kipindi kile Tido anaiboresha TBC alikuwa anapinga kweli TBC kupewa ruzuku kwamba inaua vyombo vingine binafsi,ukitaka ukweli wa hili rejea ansard za bunge,kipindi hicho ITV haiangaliwi kwa wingi kama TBC, alikuwa anapiga kelele TBC isipewe ruzuku kwa kuwa vyombo vingine cinashindwa kushindana na TBC
 
upload_2017-5-6_5-26-24.png
 
Tweet za 2014 tumeziona!!
Paskal Mayala ameandika jambo hili katika lugha inayoeleweka zaidi lakini kwa ufupi ununuzi huu ulifuata taratibu za manunuzi za serikali?
Je bei ya ndege ndiyo kweli?
Ati Katibu mkuu wa hazina ni ndugu wa karibu na Mzee?
Mkubwa wa Boeing alipokuja alikutana na nani?
Ni maswali rahisi mno kwa watu waliokuwa transparent lakini ni magumu kwa wale wenye kupenda kuficha kila kitu.
Hiyo hoja ya Pascal ilinisababisha nifuatilie clip ya Magu akiwa na muwakilishi wa Boeing,ukiangalia hiyo clip alikuwa na Katibu Mkuu Uchukuzi bwana Chamriho na Magu kaelezea vizuri kabisa ndege inayokuja ni series kama ya 720 na malipo yatakamilika 2018 fuatilia hiyo clip kwenye website ya kurugenzi ya mawasiliano ikulu
 
Zitto anamuwakilisha nani katika sakata hili...?mwanaKigoma au watu wachache katika biashara ya ndege??

Zitto ndiye aliyeanzisha utata wa kuhusiana na ndege inayotaka kununuliwa tena akiwa hana ushahidi na badala yake anahaha kutafuta ukweli juu ya utata aliuanzisha mwenyewe...probably just to smear the name of the President au shirika letu la ndege.

Zitto haeleweki anahitaji nini hasa katika sakata hili...je ni kuhusu taratibu za manunuzi??
Je ni kuhusu ubovu wa ndege inayotakiwa kununuliwa?

Je ni kuhusu uchakavu wa ndege inayotakiwa kununuliwa ?

Je ni kuhusu bei ya ndege inayotakiwa kununuliwa??

Ukimfuatilia zitto hutaelewa hoja yake ya msingi kuhusu ununuzi wa ndege hizi ni ipi haswa.

KWA NINI ZITTO ANAYAFANYA HAYA??

JIBU LA HAYO LITATOKA KWENYE TWEETS ZA ZITTO KABWE ALIZOZISAHAU.


Wanasema huwezi kufanya uhalifu bila kuacha ushahidi ....!!

Back to the title of the thread.....!!

Here are some facts ...which we should never ignore.....

Zitto Kabwe anaelekea kuwa ni mpenzi kindakindaki wa shirika la ndege la Precision na pengine mmiliki wake.

Zitto alipendelea zaidi serikali iiokoe precision kutoka kwenye poromoko la kufilisika.

Zitto anaamini kuwa serikali ilisabotage precision Air.(nadhani kwa juhudi za serikali kuifufua Air Tanzania ni wazi imani ya zito juu ya hili itakuwa imeongezeka maradufu kulinganisha na ile ya mwaka 2014)


Zitto anaamini serikali inamchukia Shirima mmiliki wa Precision.

Zito hakutaka AirTanzania isimame kamwe !!

HUYU NDIYE ZITTO MZALENDO WA KUONGELEA UNUNUZI WA NDEGE KWA MINAJILI YA KUIFUFUA AIR TANZANIA.

Rejea link hapo chini.


Vyote ni muhimu, kuanzia mchakato wa manunuzi, bei, ubovu wa ndege etc. Hapa kuna harufu mbaya zaidi ya ile ya ununuzi wa rada mbovu.
 
Utakuwa hujua kazi ya bunge.
Ndo wabunge wenu huko majimboni kwenu kazi zolao wanazojua ni kuilinda na kuitetea serikari basi.
Kwa bunge hili la ndioooo kwa kila jambo lifanywalo na serikali, heri ni angeahirisha uwepo wangu duniani hadi karne ijayo, labda wakati huo taifa litakuwa limekomaa, sasa hivi ni ujinga mtupu.
 
Tatizo magamba ni vichaa, mshazoea kila kitu mnasema ndio. Sasa sahivi watu wamegoma kusema ndio mnaana kuja vithread uchwara kutetea manunuzi yasifata procedure.

Hivi mkurugenzi wa halmashauri akisema anunue gari la wagonjwa la mil.90 kwa cash na bila kufata sheria za manunuzi nyie mngemuacha kweli...? Lakini sizonje na genge lake wamenunua ndege ya zaidi ya $220 million then mnataka ZZK akae kimya.
 
Zitto anamuwakilisha nani katika sakata hili...?mwanaKigoma au watu wachache katika biashara ya ndege??

Zitto ndiye aliyeanzisha utata wa kuhusiana na ndege inayotaka kununuliwa tena akiwa hana ushahidi na badala yake anahaha kutafuta ukweli juu ya utata aliuanzisha mwenyewe...probably just to smear the name of the President au shirika letu la ndege.

Zitto haeleweki anahitaji nini hasa katika sakata hili...je ni kuhusu taratibu za manunuzi??
Je ni kuhusu ubovu wa ndege inayotakiwa kununuliwa?

Je ni kuhusu uchakavu wa ndege inayotakiwa kununuliwa ?

Je ni kuhusu bei ya ndege inayotakiwa kununuliwa??

Ukimfuatilia zitto hutaelewa hoja yake ya msingi kuhusu ununuzi wa ndege hizi ni ipi haswa.

KWA NINI ZITTO ANAYAFANYA HAYA??

JIBU LA HAYO LITATOKA KWENYE TWEETS ZA ZITTO KABWE ALIZOZISAHAU.


Wanasema huwezi kufanya uhalifu bila kuacha ushahidi ....!!

Back to the title of the thread.....!!

Here are some facts ...which we should never ignore.....

Zitto Kabwe anaelekea kuwa ni mpenzi kindakindaki wa shirika la ndege la Precision na pengine mmiliki wake.

Zitto alipendelea zaidi serikali iiokoe precision kutoka kwenye poromoko la kufilisika.

Zitto anaamini kuwa serikali ilisabotage precision Air.(nadhani kwa juhudi za serikali kuifufua Air Tanzania ni wazi imani ya zito juu ya hili itakuwa imeongezeka maradufu kulinganisha na ile ya mwaka 2014)


Zitto anaamini serikali inamchukia Shirima mmiliki wa Precision.

Zito hakutaka AirTanzania isimame kamwe !!

HUYU NDIYE ZITTO MZALENDO WA KUONGELEA UNUNUZI WA NDEGE KWA MINAJILI YA KUIFUFUA AIR TANZANIA.

Rejea link hapo chini.


Mkuu Jingalao, haupo mbali na mawazo yanayosimamia ukweli. TCAA imekuja kivingine kabisa na ambavyo wengi waliitarajia kuwa, katika awamu hii ya tano. Imekuja kikazi zaidi na sio kisiasa, matokeo yake hata ATCL imepata uongozi mzuri kwa sababu ya ushawishi wa TCAA.

Haya mambo mema hayawapendezi madalali wengi wa kimataifa, sio ajabu hata mabosi wa taasisi hizi mbili nilizozitaja, wamekuwa ni watu wanaopigwa vita ya chini kwa chini. Mmoja wa mabosi wa hizo taasisi alifikiwa hatua ya kuambiwa kwamba hicho kiti alichokikalia asitegemee kwamba ni cha kwake peke yake.

Jambo jema kwa wenye kutaka kuona ustawi wa sekta ya anga ni kwamba mheshimiwa JPM ni mtu very positive minded yanapokuja masuala ya maendeleo ya kweli ya nchi. Ameshatambua hiyo vita inapiganwa vipi na nani. hivyo wakuu wa TCAA na ATCL wamehakikishiwa kuungwa mkono kwenye yote wanayoyafanya kwa nia njema kwa Tanzania.

Hawa waheshimiwa ambao wanajaribu kucheza na mindset za watanzania kwenye facebook na mitandao mingine ya habari, kwa kifupi wanapoteza muda wao.
 
Zitto anamuwakilisha nani katika sakata hili...?mwanaKigoma au watu wachache katika biashara ya ndege??

Zitto ndiye aliyeanzisha utata wa kuhusiana na ndege inayotaka kununuliwa tena akiwa hana ushahidi na badala yake anahaha kutafuta ukweli juu ya utata aliuanzisha mwenyewe...probably just to smear the name of the President au shirika letu la ndege.

Zitto haeleweki anahitaji nini hasa katika sakata hili...je ni kuhusu taratibu za manunuzi??
Je ni kuhusu ubovu wa ndege inayotakiwa kununuliwa?

Je ni kuhusu uchakavu wa ndege inayotakiwa kununuliwa ?

Je ni kuhusu bei ya ndege inayotakiwa kununuliwa??

Ukimfuatilia zitto hutaelewa hoja yake ya msingi kuhusu ununuzi wa ndege hizi ni ipi haswa.

KWA NINI ZITTO ANAYAFANYA HAYA??

JIBU LA HAYO LITATOKA KWENYE TWEETS ZA ZITTO KABWE ALIZOZISAHAU.


Wanasema huwezi kufanya uhalifu bila kuacha ushahidi ....!!

Back to the title of the thread.....!!

Here are some facts ...which we should never ignore.....

Zitto Kabwe anaelekea kuwa ni mpenzi kindakindaki wa shirika la ndege la Precision na pengine mmiliki wake.

Zitto alipendelea zaidi serikali iiokoe precision kutoka kwenye poromoko la kufilisika.

Zitto anaamini kuwa serikali ilisabotage precision Air.(nadhani kwa juhudi za serikali kuifufua Air Tanzania ni wazi imani ya zito juu ya hili itakuwa imeongezeka maradufu kulinganisha na ile ya mwaka 2014)


Zitto anaamini serikali inamchukia Shirima mmiliki wa Precision.

Zito hakutaka AirTanzania isimame kamwe !!

HUYU NDIYE ZITTO MZALENDO WA KUONGELEA UNUNUZI WA NDEGE KWA MINAJILI YA KUIFUFUA AIR TANZANIA.

Rejea link hapo chini.


A load of bull!
 
Hapo ndio umenichanganya kabisa!!By the way punguza jazba mwisho wa siku nchi hii ni yetu sote...ila tukumbuke wanasiasa ni wanasiasa tu.

Bahati mbaya kipindi hiki pale Magogoni yuko mtu ambaye sio mwanasiasa...hili litawataabisha sana wachumia tumbo.

Aliyeko Magogoni kipindi hiki si mwanasiasa? Is that a joke?
 
nlivomwelewa zito alikuwa anahoji uhalali wa bei ya ndege baada ya Tz kuuziwa kwa bei ya mwaka 2009 wakati ndege zilikosa soka hali iliyowafanya Boeing kufanya discount ya zaid ya nusu ya bei ya awali kwan ndege hizo zilikuwa zimetengenzwa chini ya kiwango!!!! according 2 zito Boeing watuingiza cha kike!!
 
Ndo zenu kila mtu anaye hoji anatumika hata Bashe alipowaambia kuhusu vat kwenye kampuni za simu na mabenk mlimwambia anatumika matokeo yake tumeyaona
 
Back
Top Bottom