Recent content by issenye

  1. issenye

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mbunge mstaafu wa CHADEMA Salome apiga magoti akimuombea kura Samia

    huyo sio mbunge mstaafu wa chadema, ni mbunge mstaafu wa marehemu Magufuli na marehemu Ndugai
  2. issenye

    JamiiForums Tanzania "Manusura" wa ndege ya India hakuwa abiria kwenye hiyo ndege

    maisha yamekupiga hadi unamuonea wivu manusura wa ndege
  3. issenye

    JamiiForums Tanzania Ukweli usemwe, Chadema imeshindwa kuwalipa mawakili ndio maana Lissu ameamua kujitetea mwenyewe

    Sasa nyie ccm inakuwaje tena mnatumia matrilioni ya pesa za mikopo kupambana na chama kisicho na pesa?
  4. issenye

    JamiiForums Tanzania Netanyahu ampigia simu Putin akimuomba awatulize Iran

    Huwa mnaanzaga kupongeza hivi lakini Israel ikijibu mapigo mnalalamika kuwa haijali haki za watoto, wanawake, wazee na wagonjwa
  5. issenye

    JamiiForums Tanzania Maneno kama haya kwenye Hotuba ya Bajeti yalilenga nini?

    Ajabu wakati miili inaokotwa kwenye magunia mto ruvu, yeye ndiye alikuwa waziri wa mapolisi na alisema ni miili ya wahamiaji haramu
  6. issenye

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    #NoReformsNoElection
  7. issenye

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Karatu: Dkt Slaa afunga kazi na No Reforms No Election, Umati wa waliohudhuria wakosa Idadi

    alikuwa dodoma wamemvalisha bango kubwa kama ubao
  8. issenye

    JamiiForums Tanzania Je, unajua? Ubatizo wa maji mengi ni ishara ya mtu kufa na kufufuka na Yesu Kristo

    Mathayo 28:19 Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu. Wapi imeandikwa watu wabatizwe kwa maji mengi
  9. issenye

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Zitto Kabwe: Wanasiasa ambao wanataka kufanya siasa lakini milango imefungwa kwenye vyama vyao, Karibuni ACT Wazalendo

    si tuliambiwa kuwa huyu kastaafu uongozi ACT, mbona kila siku anatoa matamko kwa niaba ya chama?
  10. issenye

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mkurugenzi wa TANESCO aliyefariki alitumia gari binafsi kazini badala ya ofisi? Kwanini waling'oa namba ya gari?

    Vijana wa UVCCM wanatamani kuja kupinga hili ila wanakosa hoja
  11. issenye

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Msigwa: Mbowe aliacha tuliyomtuma Ikulu akaenda kushughulikia Billicanas. CHADEMA hakuna Sera ni kudandia mambo ya CCM tu!

    muulize msigwa aliyesema kuwa mbowe alienda kushughulikia mambo ya bilicanas
  12. issenye

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Msigwa: Mbowe aliacha tuliyomtuma Ikulu akaenda kushughulikia Billicanas. CHADEMA hakuna Sera ni kudandia mambo ya CCM tu!

    Kwahiyo samia naye akaacha maagizo ya chama chake akaamua kushughulikia mambo ya Club bilicana?
  13. issenye

    JamiiForums Tanzania Wapinzani wa Rais Samia waanza kutumia silaha ya Uzushi na uongo kumshambulia baada ya njia zao kushindwa.

    Hizi story zilikuwepo hata kipindi cha jiwe toka kwa chawa wake, tushazizoea. Ila leo umesahau kuweka namba ya simu
  14. issenye

    JamiiForums Tanzania Ila Bashe! Nchi ina upungufu wa sukari tani 30,000; yeye anaagiza tani 400,000!

    umesoma kilichoandikwa ukaelewa au umejibu kama mwanaccm?
Back
Top Bottom