Netanyahu ampigia simu Putin akimuomba awatulize Iran

Netanyahu ampigia simu Putin akimuomba awatulize Iran

Baada ya kuona mbombo ngafu jamaa kamtwangia simu Putin na kumuomba eti aiombe Iran wasijibu zaidi.

Putin amekataa, Iran walifanikiwa kurestore mifumo yao ya Ulinzi wa Anga kwa masaa machache tu baada ya mauaji ya wale viongozi

Huko Israel walowezi wameanza kumlaumu Netanyahu kwa kuwaingiza kwenye vita ambayo hawawezi kuimudu

My take: Kipondo cha Iran kitaendelea mpaka utawala wa Israel uparalyse kabisa wairan sio watu wa kawaida wale.

View attachment 3367888View attachment 3367889
Kawaongopee ndugu zako huko hakuna unalolijua wewe kafiri
 
Ila wewe ni mtunzi mzuri.
Baada ya kuona mbombo ngafu jamaa kamtwangia simu Putin na kumuomba eti aiombe Iran wasijibu zaidi.

Putin amekataa, Iran walifanikiwa kurestore mifumo yao ya Ulinzi wa Anga kwa masaa machache tu baada ya mauaji ya wale viongozi

Huko Israel walowezi wameanza kumlaumu Netanyahu kwa kuwaingiza kwenye vita ambayo hawawezi kuimudu

My take: Kipondo cha Iran kitaendelea mpaka utawala wa Israel uparalyse kabisa wairan sio watu wa kawaida wale.

View attachment 3367888View attachment 3367889
 
Baada ya kuona mbombo ngafu jamaa kamtwangia simu Putin na kumuomba eti aiombe Iran wasijibu zaidi.

Putin amekataa, Iran walifanikiwa kurestore mifumo yao ya Ulinzi wa Anga kwa masaa machache tu baada ya mauaji ya wale viongozi

Huko Israel walowezi wameanza kumlaumu Netanyahu kwa kuwaingiza kwenye vita ambayo hawawezi kuimudu

My take: Kipondo cha Iran kitaendelea mpaka utawala wa Israel uparalyse kabisa wairan sio watu wa kawaida wale.

View attachment 3367888View attachment 3367889
Ushahidi wa mzayuni kupiga simu upo wapi? Mi naona maneno ya, kanga tu,
Mzayuni kaua viongozi, wanasayansi wa Iran, it's on public record, hii ya kwako imeripotiwa wapi? Au, radio kizimkazi!
 
Baada ya kuona mbombo ngafu jamaa kamtwangia simu Putin na kumuomba eti aiombe Iran wasijibu zaidi.

Putin amekataa, Iran walifanikiwa kurestore mifumo yao ya Ulinzi wa Anga kwa masaa machache tu baada ya mauaji ya wale viongozi

Huko Israel walowezi wameanza kumlaumu Netanyahu kwa kuwaingiza kwenye vita ambayo hawawezi kuimudu

My take: Kipondo cha Iran kitaendelea mpaka utawala wa Israel uparalyse kabisa wairan sio watu wa kawaida wale.

View attachment 3367888View attachment 3367889
Huwa mnaanzaga kupongeza hivi lakini Israel ikijibu mapigo mnalalamika kuwa haijali haki za watoto, wanawake, wazee na wagonjwa
 
Alihisi Iran Ni Gaza 😅😅 Ukiua kwa Upanga Utauliw kwa upanga Farasi mwekundu yuko juu ya Israel kwa sasa
Halafu netanyahu ni chizi ,😃😃😃😃
Iran hawana desturi ya uoga wakati trump ana tawala ktk awamu ya kwanza alimuua general qassem Iran wakasema watajibu mapigo usa akampiga mikwara jibu mapigo uone jamaa wakajibu mapigo kweli Kwa kulipua kambi za jeshi za usa 😃😃

Usa wakafyata mkia wakaona hawajamaa sio wazima kmmk
 
Halafu netanyahu ni chizi ,😃😃😃😃
Iran hawana desturi ya uoga wakati trump ana tawala ktk awamu ya kwanza alimuua general qassem Iran wakasema watajibu mapigo usa akampiga mikwara jibu mapigo uone jamaa wakajibu mapigo kweli Kwa kulipua kambi za jeshi za usa 😃😃

Usa wakafyata mkia wakaona hawajamaa sio wazima kmmk
Hadithi yako inatufundisha niiiini mtoto mzuri? Tuambie
 
Huyu muirani ni weka mbali na watoto,
Yaani anapiga kama mtu anapiga mwanae,. Huyi ndio mtemi wa mashariki ya kati sasa
 
Mashoga nasikia hawajui wakimbilie wapi, kila walipo mabomu ya waajemi yanawashukia kama mvua😇😇😇😇🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
️ President Vladimir Putin declines Netanyahu's request to mediate with Iran to halt the conflict.
Israel sought to avert Iran's response via Moscow, but Russia stood firm and refused to intervene.
Join our Telegram Channel t.me/PresidentPutin…
 
Mkubwa unajua kuna watu humu wanatamani kufa kwa hii taarifa yako ni either ni ya ukweli au uongo.

Israel kaanza uchokozi mwenyew so acha apondwe tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom