Recent content by issaya james

  1. I

    Mbunge wa Tarime John Heche kupeleka hoja binafsi muda wa Urais, Ubunge upunguzwe

    Kuna viongozi wazuri sana au kuna chama kizuri sana mm cjaelewa!
  2. I

    Rais Benjamin William Mkapa alivyowatimua wapinzani Ikulu

    Mkapa is a bright person@ameongea ukweli mtupu, hii nchi ukiiongoza kwa mawazo ya wapinzani utafeli mambo mengi.
  3. I

    Brazil yaisamehe Tanzania deni la Shilingi Bilioni 445

    Ukiwa mpinzani akili yako haiwezi pata fahamu mpaka umeshika dola na hakuna mtawala anayeongoza kwa maoni ya mpinzani wake akafikia malengo.
  4. I

    Lazaro Nyarandu: Muelekeo ni mhimu kuliko kasi

    Watanyoka tu@yetu macho#Magu piga kazi!
  5. I

    Polepole: Nipo Namibia, kila mtu anamuulizia Magufuli

    Hajasema wanaiulizia ccm tofauti ccm na JPM, ndio maana Lowassa hakuaminiwa wakati alitoka ccm, kwani kilimuona hafai. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. I

    Freeman Mbowe: Ni Upumbavu Kutumia zaidi ya Milioni Mia saba kufanya Uchaguzi wa Madiwani walionunuliwa na CCM

    Ameona fedha hizo kupotea wakati Watanzania watapata ujira kutokana na malipo ya uchaguzi huo, mbona hqzungumzii fedha zianazotolewa kama Ruzuku kwa vyama lakini hazifanyi kazi za maendeleo ya wananchi au zenyewe hazitokani na kodi ya wananchi? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. I

    TAHADHARI: Hizi ndo dalili 5 za kansa ambazo wengi hawazijui

    1 na 2 zinanihusu, nimewahi kwenda Aghakan Mwanza nikajieleza kuhusu tatizo langu, nilipigwa x-ray lakini doctor alisema hakuona tatizo nikapewa dawa tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. I

    Video-Msanii Arusha amtungia wimbo Rais Magufuli

    Sent using Jamii Forums mobile app
  9. I

    Lipumba: Mkapa alisaini mkataba kuruhusu makampuni kutoa mchanga nje, yatatubana kwa nguvu zote

    Tunahitaji m2 anayesaidia kutatua TATIZO sio kulaumu.
  10. I

    Lowassa na Sumaye mlikuwa wapi wakati mikataba ya madini inapitishwa?

    Tunamhitaji Lowasa na Sumayi waje watutoe wasiwasi kwamba mikataba inamaslahi kwa umma la sivyo wajiuzulu siasa kwani ripoti inaonesha walituhujumu wananchi.
  11. I

    Ripoti ya Prof.Mruma imekosa huu ufafanuzi mdogo tu ambao huenda ungepunguza mshituko

    Subiri ripoti ya wachumi, wao ilikua kuchunguza kiasi tu, Udine na haraka.
  12. I

    Kumiliki "used toyota car" ni symbol tosha ya umaskini

    Kununua chombo chochote cha usafiri used no dalili ya umasikini na usharobaro wa kutaka kujionesha.
  13. I

    Tundu Lissu: TLS tumeomba mwaliko wa Magufuli tukampongeze Ikulu

    Anaanza kuwa na akili sasa safi sana Lissu.
  14. I

    Peter Msigwa: Rais anatakiwa kuwajibishwa na wananchi kwa hili la RC wa DSM

    Kabla rais hatujamwajibisha nanyie wabunge uwajibishwe kwanza kwa kujipangia mishahara minono ambayo ni kufuru utafikiri nyie miungu watu.
  15. I

    Zitto: Hali mbaya ya uchumi, watu hawasafiri wala hawauzi, tutaangamia wote, mabenki yanauza nyumba

    Uzeni kwa bei mbaya hata wa elfu kumi anunue, umenunua viwanja na mjumba ili upangishe na kukodisha ardhi kwa walala hoi huo si ni unyampara.
Back
Top Bottom