Recent content by Issashoo

  1. I

    Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

    Hapa ni sawa na mbwa kumlinda fisi kila kitu kuiga tu
  2. I

    Nilivyosema Mwigulu amekomaa hamkunielewa, ona yaliyomkuta Nape

    Nape ni waziri wa habari hana nafasi na Waziri wa mambo ya ndani nae ana nafasi yake na majukumu yake
  3. I

    RC Makonda amejianika, si wa kuaminiwa tena

    Mimi nikishasema hii kauli kuna Mtu anamlinda ndio maana analewa madaraka
  4. I

    Yussuf Manji, Omba Toba

    Mwenyezi mungu ampe wepesi na kujitambua kuomba toba
  5. I

    Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ahudhuria Ibada KKKT Kimara; hataruhusu Dar kuwa lango la Madawa

    Mimi nadhani kila mtu ameletwa na mungu ajibu tuuma zinazomkabidi
  6. I

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    Mimi nataka hii ligi bwana DAUDI BASHITE aweke vyeti mezani
  7. I

    Nape Nnauye: Unawezaje kumtaarifu Muuza Dawa za Kulevya kuwa unataka kumkamata?

    Nape yuko vzr kazi ipo sana kama Rais atazidi kukaaa kimya kuna kitu hapa
  8. I

    Makonda jiuzulu, omba msamaha, linda heshima kidogo iliyobaki

    Anaona aibu kwa aliyoyafanya sasa amebaki kwenda kwa viongozi wa dini alidiriki kusema yeye ni jiwe hakuna jiwe litakalobakia
  9. I

    Yaliyotaka kutokea leo uwanja wa Taifa,ndio matokeo ya "siasa" za Vita ya madawa ya kulevya

    Nimesoma kwa makini sana hawa watu wana akili nyingi sana
  10. I

    Wengine wametajwa, wengine wamefanywa siri, haki na usawa viko wapi hapa?

    Hapa hakuna haki hata kidogo zaidi itaonekana ana chuki na watu aliowataja
Back
Top Bottom