Gamba mwenyewe Ukawa hawana hoja mbele ya watanzania na Jumuiya za kimataifa kwa 7bu Rais aliyekuwa anazindua bunge hakuwa Rais wa Zanzibar hivo Rais Magufuli hakuwa na kosa Hilo ni Bunge litakalo fanya Kazi kuisimamia serikali atakayounda Magufuli siyo Rais wa Zanzibar. So walichofanya ni UTOTO...
Ukawa wanajidanganya kufutwa kwa uchaguzi Zanzibar sio wa kwanza hata serikali za mtaa mwaka jana tume walifuta mbona ukawa hawakupiga kelele au kwa sababu urais una masrahi kuliko uenyekiti wa mtaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.