Recent content by issamkemwema

  1. I

    Dr. Magufuli na usanii wa Hospitali kuu ya Taifa Muhimbili

    Mbuluraaa we hujui kama malipo yanayofanywa na fed ha za serikali hulipwa baada ya kufikisha mzigo?
  2. I

    Hongera CCM kuitekeleza ilani ya UKAWA

    Wanaosema Magufuli kuchukua Sera ya Ukawa wanaumwa akili zao, kiacheni cha chamapinduzi kina hazina kubwa ya wanachama
  3. I

    Hospitali Kuu ya Taifa Muhimbili yapokea vitanda na magodoro

    Manunuzi ya serikali hufanyika bila cash
  4. I

    Ufafanuzi: Safari za nje za ofisi ya CAG

    Imekula kwenu CAG acha Magufuli awatumbue mJipu
  5. I

    Dr. Magufuli na usanii wa Hospitali kuu ya Taifa Muhimbili

    Rais ni kila kitu tuliza mzuka hapa ni Kazi tu majungu Peleka Ukawa
  6. I

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Maneno Mengi wala hamna point kwani magufuli anawajua vema kuliko unavyomdhania yy ni mtanzania pia
  7. I

    Kwanini CCM hawampendi Mbowe?

    Hana lolote unachosema ni mahaba kwa mbowe
  8. I

    DC amfukuza kazi Mganga wa zamu kwa uzembe kazini baada ya kukataa kumtibu Mtoto wa miezi 6

    MO asitutanie huyo tabibu Hana jipya tuliposema hapa kazivhatukuwa na Utani akatulie na familia yake tuajili mwingine mwenyewe kupenda Kazi
  9. I

    Upinzani wamejipatia sifa ya utoto bungeni

    Gamba mwenyewe Ukawa hawana hoja mbele ya watanzania na Jumuiya za kimataifa kwa 7bu Rais aliyekuwa anazindua bunge hakuwa Rais wa Zanzibar hivo Rais Magufuli hakuwa na kosa Hilo ni Bunge litakalo fanya Kazi kuisimamia serikali atakayounda Magufuli siyo Rais wa Zanzibar. So walichofanya ni UTOTO...
  10. I

    Maswali 3 au 4 ya Ugomvi: Kwa Wanaomlilia Maalim Seif...

    Ukawa wanajidanganya kufutwa kwa uchaguzi Zanzibar sio wa kwanza hata serikali za mtaa mwaka jana tume walifuta mbona ukawa hawakupiga kelele au kwa sababu urais una masrahi kuliko uenyekiti wa mtaa
  11. I

    Mheshimiwa Spika na Rais wa Jamhuri ya Muungano mlichokifanya sio sahihi

    Una Mavi ww bungeni so Mahali pa mchezo
  12. I

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma 20 Nov, 2015: Hotuba ya Rais wa JMT kuzindua Bunge la 11

    Ukawa safari hii somo la hapa Kazi tu mtalielewa
  13. I

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma 20 Nov, 2015: Hotuba ya Rais wa JMT kuzindua Bunge la 11

    Wameonyesha uwezo wao Mdogo wa u elewa kwani January hawataingia bungeni kuijadili?
Back
Top Bottom