Hbr ya asubuh wana JF.
Nilikuwa na mpenzi wng,tukaja tukatenga baada ya yeye kuingia chuo tu mwaka wa Kwanzaa, wakati huo mimi ndio nikiwa nimetoka kumaliza chuo wakati akiwa chuo alianza kuwa na tabia zisizoeleweka na kadri nilivyojitaidii kuzungumza nae alikuwa mkalii na ilifika wakat akisema...
Asanteee mkuuuu
Mnaweza kuwa mnapendana lakin swala la dini linaweza wavuruga kabisa. Na kuharibu ndoto zenu.
Cha msingi nadhani lazima mkae na bint mjadiliane kwa kina juu ya hatima yenu kuhus swala hilo. Lazima muwe na mutual agrement na kauli moja juu ya hilo.
Lazima pande zote mbil...
Habari ya usiku wana JF,
Nina mpenzi wangu wa muda mrefu kidogo na tunapendana tu sana na nimepanga kufanya mipango ya harusi hapo mwakani. Tatizo lililopo sasa ni dini yeye Mkristo na mimi Muislam, na huyu mpenzi wangu ameniomba nisije kufanya maamuzi ambayo yatamuumiza.
Mpaka sasa hata...
Unataka ushauri gain sasa mwanamke kasheliwa tena umesibitishiwa kwa 100% km a upon tayari kuyapata maradhi ya bure mi nakushauri endelea tu kumpenda uyo dem ili ck nyngne uje na mwngne wa ugonjwa cc tukupe pole kwa wingi
Hapo awali nilikuwa na mwanamke akanitenda vibaya, miaka ikapita nikapata mwanamke mwingine.
Tatizo nililokuwa nalo sasa ni inafika wakati, ninamchukia sana huyu mwanamke wangu, alafu inafika wakati hali hii ya kumchukia inapotea kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.