acha uoga wa kijinga,hapa amechanganya nn? Mbona wanaposifia viongoz hamsem? Wakikosoa mfumo mchaf ndo mnaona? Walisema rais jmk ni mteule wa mungu hamkuona mlilala? Kusifia na kukosoa ni kaz yao pia
NDUGU WADAU NAPENDA KUTOA PENDEKEZO LA MAJIBU MATATU WAKATI WAKUPIGA KURA,NDIO,hapana na sijui.majibu ya yapana na sijui ya kiwa mengi inatakiwa elimu irudiwe kisha tupige kura tena yakirudia tena mchakato uwe batil
MTWA
Tanzania bado sana,tunafikiria juu juu tu vijana hamna kitu;
1.tuna mjadili mwanasheria wa zanzibar badala ya kujadili mapungufu ya ibara alizozikataa-huu ni ujinga lakini pia hizo ibara zilikuwa zinamadhara kwa nan? angesema ndio angekuwa na shida gani?
2;kama tz ni nchi kidemokrasia...
Annael udogo unakusumbua!,nilishasema vijana wa siku hiz mnafikir juujuu tu;
1.kuhusu ukawa kutoka nje ya bunge ukawa bado walikuwa sahihi kwa maana kuwa hata kama ungejumlisha idadi yao wakat wakupiga kura wangeshindwa kwa kura kutokana uchache wao hivyo waliona mbali hawkutaka rasimu mbov...
BUCHANAN NIMEKUSOMA KILA KONA NIENDAYO,HUNA MASHIKO YA HOJA,HUNA UWEZO wa kutafakari kwa kina ndo maana unamuattack mtu badala ya hoja;any way mdau kauliza swali suala la ukawa linakujaje? kwa taarifa yako yey ni mwanachama mwenzako.usilewe chama
BUCHANAN hakuna thread unayotoa yenye mrengo mzur kila wakat upo biased,kwanza nikufahamishe kuwa hoja ya katiba mpya ililetwa na upinzan na zaid ya 75% ya ccm walikataa rais akatumia busara zake sasa unaposema kuwa CHADEMA hawataki katiba mpya sikuelewi kabisa.Pia unapotaja masuala ya matokeo...
NOTRADAM bado nakuona kama mpumbavu tu,shule haijakusaidia maana mabadiliko hayaletwi na wapinzan(petty bourgeoisie)bali tabaka kandamizwa kazi ya wapinzan ni kuamsha utashi wa umma halaf baada ya utash ni kuchukua hatua sahihi.sasa umeshindwa kutofautisha katiba na siasa pia unaushabiki sio...
mnalewa mitandao halafu mnajisahau mnaongea mambo bila uthibitisho,mkikamatwa mkifunguliwa kesi mnalalamika,chadema wanaandamana kubenea anatumia njia ambayo wengi wanaikubali bado mnasema anatumwa? Sisi watz bado sana uwezo wetu wa kupambanua mambo ni mdogo sana,mwache anayejua namna ya...
USISIFIE KABLA YA KUISOMA RASIMU USIWE MLEVI WA MANENO TU,LOBENGULA ALIDANGANYWA KWA MANENO MAANDISHI YAKAWA TOFAUTI AKAIKABIDHI ZIMBAWE KWA WAKOLON.NAKUSHAUR WASIKILIZE WATAALAM WASIO WANASIASA,maana hawana ushabiki
katiba sio Mali ya ukawa wala ccm. kusema 3-0 maana yake ni kuweka ushabiki kwenye KATIBA.CARL MARX SAID THAT NEITHER PETTY BOURGEOISIE NOR BOURGEOISIE WILL BRING A TRUE REVOLUTION RATHER THE JOINT EFFORTS OF THE OPPRESSED ONES. NINAIMAN NIMEELEWEKA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.