Kosa la kupiga kampeni kwa kisingizio cha kutangania na kutafuta wadhamini mara hii halitamwacha salama! Kwenye kapu hilo wapo wote waliotangaza nia kwa kufanya kampeni labda Makongoro tu ndo anaweza salmika, ila ENL, MLN, MPM, JYM,BCM,WN, FTS na SMW wote manzi ga nyanza! wote lazima wapate...
Mimi naona wahariri wako sawa kabisa,...Ni rahisi kurekebisha makosa yatokanayo na BVR ila si rahisi kurekebisha makosa ya rais mbovu aliyepita kinyemela hadi kufikia nafasi hiyo urais...! Kupitia hoja za watia nia, huenda wananchi watatambua kuwa si kila king'aacho ni dhahabu!
Maneno huumba, dawa tuandae mechi moja ya kirafiki na timu yoyote, tukiifunga tumlazimishe R/M/JMT/ Mwinyi atamke hadharani kuwa Tanzania is no longer and will never be kichwa cha mwendawazimu any more... Inabidi tufanye haraka maana jamaa keshagonga 90..!
Naona ccm wanawaiga cdm, kama wenzo walivyokiuka ukomo wa muda wa mwenyekiti, hao wanajiandaa kukiuka muda wa uanachama..! Hizi katiba zinawabana wasiotakiwa tu, utafikiri ni mchezo wa TFF na michael wambura!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.