Wanajamii nasukuru kwa kumwelimisha huyu jamaa aliyekuja na hii topic ya uongo, mi ninawashkaji watatu wanafanya kazi pale FINCA na kati yao wawili wana first class sasa iweje hawa hawakuwaogopa? Kama wengi walivyosema issu ya ajira inavigezo vingi na kila kampuni inavitu vyake vya kuangalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.