Recent content by Isomer

  1. I

    Tuwe wakweli: Ungekuwa Lissu usingefanya na kusema kama yeye?

    Nimemkumbuka Hayati Magesa Mulongo alivyokuwa anawanyanyasa watumishi. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. I

    LHRC Watoa Ufafanuzi wa Kisheria Kuhusu Mamlaka na Mipaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za serikali-CAG

    Katiba ni sheria mama kanuni na miongozo yote lazima iendane na kayiba kama kanuni zitakizana na katiba basi hizo kanuni zinakuwa batili. Faru kakosea kumuita cag. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. I

    Tukifumbia macho Ndugai kwa CAG, Tutarajie amri ya Ndugai kwa Rais na Pingu.

    Faru Ndugai kwishinei Sent using Jamii Forums mobile app
  4. I

    Tukio litakalopima urais wa Magufuli

    It is still loading Sent using Jamii Forums mobile app
  5. I

    Tetesi: CCM inaorodhesha walimu wazalendo

    Haya bwana yajayo mmm Sent using Jamii Forums mobile app
  6. I

    Ningekuwa Rais wa nchi nisingeruhusu Tundu Lissu akanyage ardhi ya nchi tena

    Vipi majimbo ya wake wasio zodoa serikali yapoje?
  7. I

    Mbowe acha siasa za Matukio. Kivuko hakina vyumba.

    Tunashukuru tumemuokoa binadamu mwezetu baada ya saa 48. Bila shaka unaona umuhimu wa kuendelea na Nazi ya uokozi usiku kucha. Acha siasa ndugu ubinadamu kwanza
  8. I

    Familia ya Tundu Lissu yamrushia lawama rais Magufuli kuhusu upelelezi na Matibabu ya ndugu yao

    Bunge limeshindwa kusimama kama mhimili unaojitegemea badala yake limekuwa taasisi ya serikali ndo maana spika hana majibu
  9. I

    Bunge la 11 ndiyo bunge dhaifu kuliko mabunge yote tuliyowahi kuwa nayo

    Jiwe bwana sasa anajiita kichaa
  10. I

    Tundu Lissu: Ndugu zangu popote Tanzania na nje ya Tanzania, nawapa salamu za upendo na furaha kubwa

    Watesi wa Kristo walisadiki kuwa mwisho wa Kristo ni msalabani na kaburini. Mambo yakawa tofauti kabisa sote tunafahamu.Yatupasa kutambua tu dunia ili kumtumikie Mungu na ndiye anayetoa na kutwaa uhai wetu. Kwa risasi zile walitaka kuidhihirishia dunia kwamba democrasia imeshindwa Tz .Kumbe...
  11. I

    Zitto atoa utaratibu maalum kukumbuka Tundu Lissu Day

    Mungu wetu ulionesha mkono wako wenye nguvu umujalie mtumishi wako TL hekima za kimungu
  12. I

    GE2015 Mbunge wa Jimbo la Monduli, Julius Kalanga (CHADEMA), ajiuzulu na kuhamia CCM

    Kila la kheri uendako. Taifa linapoteza fedha Nyingi sana kugharamia uchaguzi usio na tija kwa watanzania. Tunatamani fedha zielekezwe kwenye huduma za jamii kuliko kuendelea upumbafu huu. Hakuna democrasia isyo na mipaka. Tumemsikia Jiwe akisema angewafukuza wabunge wa mikoa ya...
Back
Top Bottom