Tundu Lissu: Ndugu zangu popote Tanzania na nje ya Tanzania, nawapa salamu za upendo na furaha kubwa

nimejikuta machozi yanadondoka yenyewe tu baada ya kusoma ujumbe huu wa huyu hero wetu.

naomba tu Mungu ampe moyo wa kusamehe - yeye na ukoo wake - ili kuepusha vendetta ambayo tone yake nimeihisi kwenye ujumbe huu.
kwa upande mweninge, wale waliofanya unyama huu wajitokeze hadharani na kuomba msamaha wa dhati!


ushauri wangu:
ujumbe huu - kama bado - ufanyiwe tafsiri kwenda Kiingereza na Kifaransa ili audiences mbalimbali across the planet ziusome na kuuelewa.
Tena kwa karne hizi, huu ujumbe na wote waliotajwa utaprvail miaka mingine zaidi ya 1000
 
Hii nchi hii inasikitisha sana tena sana yaani mtu anatoa taarifa polisi kuwa kuna gari linamfuatilia hakuna hatua iliyochukuliwa bado siku ya kupigwa risasi hakuna walinzi eneo la tukio ina maana nani anayetoa order wasiwepo siku ya tukio?? Haya bado CCTV camera zimenyofolewa kwenye makazi ya viongozi wa serikali ...... Hivi bado unahoji uhusika wa serikali kwenye masahibu ya lissu??

How can you explain that??
Swali langu ni kwamba yessss serikali imehusika!! Kama mnavyodai je Tundu lissu si Mwanasheria??? Mbona hajaenda mahakamani hata familia yake au chama ashikwe huyo ambaye mlimuona anampiga risasi na yeye anamjua kabisa!!!

Staki kubishana sana ktk jambo hili ila nachoshauri hebu siasa zetu ziwe na mipaka na tukumbuke "There is always exceptional to the general rule "nahakika huyu bwana kinachomsumbua ni kujifanya hajui utaratibu wa kisheria sasa akiendelea na mkiendelea kulia lia humu na kwwenye majukwwaa je mtakuwa mmepata suluhisho gani???? Kwann mnakuwa na ufinyu wa akili nmna hii??? Haya endeeleeni kumtusi yule mnayemlazimisha afanye uchunguzi kama atawwsikiliza
 
Swali langu ni kwamba yessss serikali imehusika!! Kama mnavyodai je Tundu lissu si Mwanasheria??? Mbona hajaenda mahakamani hata familia yake au chama ashikwe huyo ambaye mlimuona anampiga risasi na yeye anamjua kabisa!!!

Staki kubishana sana ktk jambo hili ila nachoshauri hebu siasa zetu ziwe na mipaka na tukumbuke "There is always exceptional to the general rule "nahakika huyu bwana kinachomsumbua ni kujifanya hajui utaratibu wa kisheria sasa akiendelea na mkiendelea kulia lia humu na kwwenye majukwwaa je mtakuwa mmepata suluhisho gani???? Kwann mnakuwa na ufinyu wa akili nmna hii??? Haya endeeleeni kumtusi yule mnayemlazimisha afanye uchunguzi kama atawwsikiliza

Hujalazimishwa kuchangia. Potezea endelea na yako. Hii haikuhusu.
 
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka, halafu what happened?!.
Natafuta muda nita wapandishie hayo maswali.

Haya ni baadhi tuu.
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa...
yataendelea.
P.
Hili bandiko si ungeliacha kule lilikokuwa tu mkuu?
 
Mawakili wanapigana sana risasi kwa ajili ya kesi zao za kutetea wahalifu, ... Inawezekana Lisu kuna mtu alisababisha akashindwa kesi kiuonevu akalipiza kisasi kwa kumtwanga risasi...Kuna mwanasheria mmoja Arusha wamemuua hivyo hivyo mambo ya visasi
Mawakili wanapigana sana risasi kwa ajili ya kesi zao za kutetea wahalifu, ... Inawezekana Lisu kuna mtu alisababisha akashindwa kesi kiuonevu akalipiza kisasi kwa kumtwanga risasi...Kuna mwanasheria mmoja Arusha wamemuua hivyo hivyo mambo ya visasi
Mawakili wa sikuhizi wana nguvu ,wanaweza kutoa cctv camera ,wakawatoa walinzi wote,wakazuia uchunguzi kutoka nje,wakazuia sala za kumuombea TL,wakakataa kumtibia na fedha za bunge duh,hongera mawakili
 
Mawakili wanapigana sana risasi kwa ajili ya kesi zao za kutetea wahalifu, ... Inawezekana Lisu kuna mtu alisababisha akashindwa kesi kiuonevu akalipiza kisasi kwa kumtwanga risasi...Kuna mwanasheria mmoja Arusha wamemuua hivyo hivyo mambo ya visasi
Bora baba yako angepiga "puchu" kuliko kumtungisha mimba mamako...shame on you..wala huchekeshi...
 
Watesi wa Kristo walisadiki kuwa mwisho wa Kristo ni msalabani na kaburini. Mambo yakawa tofauti kabisa sote tunafahamu.Yatupasa kutambua tu dunia ili kumtumikie Mungu na ndiye anayetoa na kutwaa uhai wetu. Kwa risasi zile walitaka kuidhihirishia dunia kwamba democrasia imeshindwa Tz .Kumbe mawazo ya Mungu si ya binadamu. Mungu akujalie maisha marefu TL.
 
Swali langu ni kwamba yessss serikali imehusika!! Kama mnavyodai je Tundu lissu si Mwanasheria??? Mbona hajaenda mahakamani hata familia yake au chama ashikwe huyo ambaye mlimuona anampiga risasi na yeye anamjua kabisa!!!

Staki kubishana sana ktk jambo hili ila nachoshauri hebu siasa zetu ziwe na mipaka na tukumbuke "There is always exceptional to the general rule "nahakika huyu bwana kinachomsumbua ni kujifanya hajui utaratibu wa kisheria sasa akiendelea na mkiendelea kulia lia humu na kwwenye majukwwaa je mtakuwa mmepata suluhisho gani???? Kwann mnakuwa na ufinyu wa akili nmna hii??? Haya endeeleeni kumtusi yule mnayemlazimisha afanye uchunguzi kama atawwsikiliza
Mkuu mahakama utafungua kesi bila ushahidi??? Si utaangushwa asubuhi tu..... Unajua kuna mambo mengine hayana ushahidi wa kushikika ila ushahidi wa kimazingira unajibu kila kitu ni sawa na kusema kikwete sio fisadi ilihali muda aliokaa kwenye u-Rais kuna mikataba mibovu ilisainiwa na vitendo vya kifisadi vilifanyika, hapo huna ushahidi wa moja kwa moja kusema kikwete ni fisadi ila ushahidi wa kimazingira unaonyesha kuwa alihusika kwenye wizi mwingi tu serikalini sababu kubwa ni KWANINI HAKUCHUKUA HATUA??

Tukirudi kwa tukio la lisu.... Kwanini polisi hawakuchukua hatua alipotaja namba za gari inayomfuatilia???

Kwanini CCTV camera zimechomolewa kwenye nyumba za viongozi wa serikali mara baada ya tukio?? Kinafichwa nni??

Kwanini askari wanaolinda hawakuwepo eneo la tukio siku ya uharamia ule??

Kwanini serikali/bunge iligoma kumchangia matibabu mbunge wake??

Kwanini serikali iligoma kuruhusu wachunguzi huru kutoka nje kuja kufanya upelelezi kama wao wamesusa as u said kisa wamesingiziwa???

Haya maswali ndio yanaleta USHAHIDI wa kimazingira kuwa serikali imehusika ila hizo hoja huwezi toa mahakamani ukashinda kesi kama vile ambavyo huwezi sema kikwete ni fisadi kisa tu matukio ya kifisadi na mikataba mingi ya kifisadi imesainiwa wakati wake!!! Hivyo kukosekana ushahidi wa kimahakama usiwe chanzo cha kupinga serikali kuhusika maana kama wangekuja wachunguzi wa Interpol na wakagundua silaha iliyotumika ililala magogoni usiku mmoja kabla ya tukio sijui utasemaje??

Ni vizuri tuweke akiba ya maneno, muda ndio utaamua kila kitu ila one thing i know for sure, hata magufuli ipo siku atakufa tu ni vizuri ajifikirie akifa ataenda wapi?? Kwanini uroho wa madaraka umfanye akaozee kuzimu kwenye ziwa la moto wa milele??



Never ignore a fool with a big gun!
 
Ujumbe huu ni mchungu sana kwa wabaya wako ila ndio hivyo mwisho wa ubaya aibu.

Karibu sana nyumbani kamanda.

But the problem is, you are too smart to live safely under this regime.
Unapo soma na kusikia nguvu aliyonayo Mhe. Tundu Lissu, unajiuliza watu wanaruhusuje ushindi kuporwa. Sitasahau kilichotokea Buyaga, na DED bado anadunda.
 
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka, halafu what happened?!.
Natafuta muda nita wapandishie hayo maswali.

Haya ni baadhi tuu.
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa...
yataendelea.
P.
Huwezi kufikiria walichofanya ndio wewe unachokisema?. Sehemu waliyoenda ndio walitegemea kuwepo na usalama zaidi ya pengine . kwamba nyumba wanakoishi waheshimiwa kuna ulinzi asilimia 100, ndio matarajio yao kuwa slama ...matokeo yake walikuta ulinzi? jibu unalo.
 
Ni vyema ukaendelea na makala nyingi ili usipotee kwenye medani ya siasa,john joseph pombe magufuli alternative known as jiwe anasonga mbele kwa vifaru magari na farasi tukutane 2020!

Wao wanataja magari, farasi, wingi wa majeshi yao na mali zao, lakini sisi tunalitaja jina la Mungu wa Majeshi aliye hai.

Hakika Mungu ni Eben ezer, hata sasa amefanya kwa Lissu.

Mimi ni CCM ila sina namna, namkubali huyu mtu, nampenda Mungu aliyemponya na mkono hao wadhalimu
 
Hakika tukio la shambulio la huyu mwanaharakati lnaumiza na halikubaliki kwa kila mzalendo mtanzania.

Ila...sababu za shambulio na waliotekeleza shambulio bado ni siri iliyofichika,sihitaji sana kuchambua makala hii japo naamn kulishwa "matango poro".

Pole sana brother Lissu.
 
Magufuli alitaka kukuuwa akisahau kwamba naye pua imeangalia chini kama hatakufa kama alivyotaka uondoke wewe basi atakufa tuu maana kifo kiumbwa na atakufa kifo cha aibu
Acha upuuz wa mikumbo ya kijinga,nafac ya rais ni kubwa sana.kushughulika na mjinga mmoja.

Kama magufuli amehusika bac huyu mnayemwona mungu mtu leo,asingeandika bandiko hili"angekuwa ahera".

Tusitafte kiki za kijinga,Tl awe mwazi kwa kinachommaliza.
 
Hapo ndo uwezo wako wa kufikiri ulipoishia? Kwa akili hizi ndo mana unampigia makofi huyu anaejiita kichaa.
Kama ingekua visasi polisi wangeruhusu walinzi waondolewe ili wanaolipiza kisasi kwa lisu wafanikiwe.
Na kama ni hivyo je , polisi utawawekaje mbali na hii kadhia?
Kama alijua mapema kwamba walinzi wameondolewa mbona hakwacha kwenda kwa hofu ya kiusalama?

Au kwa mda huo hakuwa na akili ya kiufaham mpaka alipopigwa shaba ndo akajitambua?
 
Back
Top Bottom