Naitwa Hussein Suleman ni kijana mwenye umri wa miaka 23, nina taaluma ya upishi najua kupika vyakula kama Wali, pilau, biriani, mandi, ugali, makange, chips, makande, ndizi rost pia za nazi
Pia nina ujuzi wa kuandaaa michuzi pamoja na roast za aina yeyote ile ya mboga kana vile roast samaki...