Wadau wa JF, naomba kuwaulizeni kuhusu waombaji wa vyuo vya afya kupitia tangazo la serikali la wizara ya afya na usitawi wa jamii. watu tulituma maombi siku nyingi lakini naona hakuna majibu. Kuna mtu kaniaambia kuwa majina hayo yametoka lakini nimetafuta kwenye website ya wizara ambayo ni...
Watanzania wenzangu ni mwisho wa mwaka wenye purukushani nyingi lakini lazima tuweze kufanya tafakari ya mambo machache ya msingi na yenye tija kwa taifa.
Nimekuwa nikifuatilia vizuri siasa ya nchi yetu na hatimaye kuna mambo mengi yanaendelea, jambo ambalo naona wananchi wanapelekwa jehanamu...
Nape naamini we ni kiongozi japo unaongoza serikali yenye misingi mibovu ya utendaji kazi. suala la kumpongeza Lema kisiasa ni nzuri lakini kwa undani wake wewe unatoa kejeli na ni unafiki. unajua nashangaa mtu msomi unakumbatia dhana za ujima as if watu hawajasoma.kaeni fikirini mnaharibu fedha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.