Recent content by ishu47

  1. ishu47

    Hii hali inaniumiza sana

    We fala Bora ujiue maana akili Yako kama ya mende Yaan unasamee ksha unaendelea kuumia we vp😂😂😂😂😂
  2. ishu47

    TRA: Vitu viwili duniani haviepukiki ni Kifo na kulipa Kodi

    Sasa mbona Kila mradi tunaambiwa umefadhiliwa? Kodi zetu znaenda wapi?
  3. ishu47

    William Ruto avunja Baraza la Mawaziri Kenya

    Kw hyo ataongoza inch kw matamko ya Gen Z? Ajiandae kuyumbishwa mpaka atajuta
  4. ishu47

    Kwa wale tuliowahi kwenda kwa waganga wa kienyeji, tukutane hapa

    Hahaha umenikumbusha mbali saana , Enz naanza maisha niliwah kwenda kw bingwa mmoja ila mapigo yake ctayasahau mpaka naondoka dunian. Jamaa alkua na kibuyu anakiulza swali kinatoa majibu kw mlio kama mluzi hvi Kisha jamaa anatafsri huo mlio, Ila hamna chochote nilcho fanikiawa mpaka nikagundua...
  5. ishu47

    Chanzo cha Umasikini kwa Wafanyakazi sio Mishahara midogo bali ni Ukosefu wa Elimu ya Kifedha

    Biashara ndo suluhisho kuajiriwa ni ngumu sana kukidhi majukumu Yako yote labda upge Dili ndo utotoboa
  6. ishu47

    GE2020 Tundu Lissu anajikoroga

    Hawajuwi wachaga
  7. ishu47

    Freeman Mbowe: Kukata tamaa ni laana, CHADEMA hakifi

    Tumekuchoka mbowe tupate vijana
Back
Top Bottom