Elution zipo nyingi na zimefungwa kasoro moja tuu ya mdimi nayo nikwakua anachoma mizigo yake tuu
Kuhusu kutumia elution ya mussa kila mtu na chaguo lake binafsi sichomei hapo kwani kuna takribani elution machine 20+
Habari za majukumu ndugu wanajamii forum, nijikite kwenye mada husika hapo juu ni hivi,takribani wiki ya pili sasa serikali kupitia wizara ya madini imefungia elution machine mjini chunya.
Kwanza kwa wale wasioelewa elution machine ni mitambo inayotumika kuchoma carbon baada ya kuvuna dhahabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.