Masandarusi hayakubebwa toka Standard Chartered Bank. Zilichotwa Stanbic muwe mna soma na kuelewa. Standard Chartered and Stanbic are two different BANKS.
Umeona tusivyo na waandishi wa habari makini. Hii ni aibu kwa taaluma ya habari Tanzania. Benki ni Stanbic huku wanaandika Standard Chartered hili ni kosa kubwa wanaweza kushtakiwa
Hakuna benki ambayo naiamini kwa usalama kama standard chartered Bank. Hawa jamaa wako vizuri ktk control, na compliance. Ruge atakuja kuaibika.
Naona maelezo yote ya Rugemalira ni kulalamika lakini aseme waliochota hela BOT ni nani na walipitishia Bank gani. Mbona hatuoni mahali hizo pesa...
hawawezi ni kuchafuana tu. Mgogoro huo ni standard chartered Malesia/ Hong kong na sio tanzania. na pia angesema aloenda kutoa hela BOT ktk mfuko wa Escrow mbona hatukuiona SCB popote? Ruge mfa maji tu kashakaa kibra huyo hana namna lazima a RIP
nadhani inependeza zaidi kama ungetupa orodha ya wateule wote wa mkulu ana mahali watokapo
na pia orodha ya waliotumbuliwa na mahali watokapo
hapo ningelikuelewa
Nashukuru kumpata mtu wa pili toka huko maana hapo mwanzo nilikuwa namwona Bashe tu angalau sasa kapata msaidizi.
Asante Nape kwa kuokoka.
Mungu akubariki sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.