Nimekuelewa mkuu, ila kwenye imani sio kweli hiz brand kubwa zinafanya kaz unajua kuna muda unaweza skiliza wimbo kifaa chako ukienda kuskiliza kwakutumia brand nyingine usikivu unabadilika test tofaut
Mimi natakuka kujua, kipi kipimo cha systim sound bora? Unaipima kwa kuskiliza au kuna specification zake? Lakin pia naonaga kuna vitu kama FREEQUENCY, DB, POWER OUTPUT, hivi vina maana gani haswa? Pia hua naskiliza music kupitia sony homtheatre na sipiano pia ninayo swali kwann hua nikiskiliza...
Habari wadau wa j4, naomba kuuliza jambo kuuzu hii kitu inayoitwa bluetooth. InFahamika kwamba computer kama haina bluetooth unaweza kununua usb bluetoth na ukachomeka na ukatumia bila shaka kila kitu kitakua sawa, je vipi kuusu radio au hometheatre ambayo haina bluetooth unaweza kufanya kama...
Wadau naomba kuuliza, chipset zip za helio zuri ambazo zinaweza kupambana na za snapdragon? Lakin pia zipi za sd ambazo ni poor kuliko mtk? Pia kinachosababisha camera kufifia ni nini kwenye simu kama za ifinixy na tecno, wakati ukinunua camera inakua nzuri sana?
Lakin pia nini kigezo cha simu...
Alieleta huu uzi humu inatakiwa akapimwe. Akili pengine hana akili nzuri au pengine labda zimefyutuka.....kwa akili ya kawaida ukalinganishe divice inayotegemea programer zinazotengenezwa na binadam uyouyo katika kurahisisha kufanya kaz zako? Basi tufanye hata gali ina akili kuliko mtu, mashine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.