Recent content by Isaya Nehemia

  1. Isaya Nehemia

    Masoud Kipanya adaiwa kukamatwa kwa kuchora katuni ya kichochezi. Yeye aibuka, adai aliyetoa taarifa 'AMESAIDIA'

    Ni uchochezi kweli maana huo mshale wa neno serikali kaelekeza kwny makalio! Unajua wanaume hatupendi kuchezewa makalio? Kwa nn asingeelekeza huo mshale mgongoni? Polisi wenyewe bosi wao Bashite hahaha!
  2. Isaya Nehemia

    AY na Mwana FA washinda rufaa yao dhidi ya Tigo, sasa kulipwa Billioni 2.1

    Acha kumjaza ujinga kwamba hajawahi kushindwa kesi. Muulize kesi ya Zitto ya kupinga kusimamishwa uanachama wa CHADEMA alosimamia nani alishinda?
  3. Isaya Nehemia

    Dodoma: Upinzani wampeleka Spika Ndugai Mahakamani

    Tatizo lako unachukua Ibara inayotoa kinga dhidi ya uhuru wa kuzungumza Bungeni unaipa tafsiri ya kulinda uvunjifu wa kanuni anaofanya Ndugai
  4. Isaya Nehemia

    Dodoma: Upinzani wampeleka Spika Ndugai Mahakamani

    Kwa tafsiri yako hii sheria zinazotungwa na kupitishwa Bungeni zisingekuwa zinahojiwa Mahakamani lakini kama una uelewa walau ndogo tu ya sheria utakuwa unajua madhara ya Mahakama ktk sheria zinazokinjana na Katiba.
  5. Isaya Nehemia

    Dodoma: Upinzani wampeleka Spika Ndugai Mahakamani

    Hii Ibara inawapa wabunge kinga ya kutokushtakiwa kwa wanayoyasema Bungeni. Immunity on the freedom of speech. Haitoi kinga dhidi ya Bunge kuvunja sheria. Ukijua tofauti kati ya immunity na ouster of jurisdiction hupati tabu kutafsiri ibara hii.
  6. Isaya Nehemia

    Mbatia: Uhakiki wa vyeti feki uanzie kwa Rais na viongozi wengine

    Ni sawa ulivyosema. Lkn vipi kuhusu ukaguzi wa vyeti kuanzia juu?
  7. Isaya Nehemia

    Kwanini mwanaume huumia sana akijua kasalitiwa?

    Tatizo mwanaume mwingine anaweza akafumua marinda yote!
  8. Isaya Nehemia

    Rais wangu Magufuli, misaada uliyochangisha kwa wanakagera hujafikisha. Kwanini wale uliwafuta kazi?

    Tatizo wahanga wa tetemeko la Kagera ni UKAWA na mimi siwezi kuwapa misaada UKAWA. Watu wetu wa CCM tutawapa kimya kimya
  9. Isaya Nehemia

    Natafuta mke mwenye ajiraa japo mi sina ajira.

    Yaani pesa huna alafu bado unaweka mashariti ya umri hapa?? Km unataka kulelewa tafuta shuga mami, wanye umri huo unaotaja tuachie sisi wenye pesa zatu. Kuwa wazi km unataka mtu wa kukusaidia maisha au mke?
  10. Isaya Nehemia

    Anayejua faida na hasara ya kuwa Wakala wa Tigopesa, M-pesa na Airtel Money

    U should first check your English before u know the procedures. Any way I know everything u would want to know about it plus agent sim cards at the cheapest price in the city. For more digestion u can call 0714721111
  11. Isaya Nehemia

    Kutuma pesa kutoka Tigo Pesa kwenda mitandao mingine sio salama

    Ilishanitokea mara nyingi sana alafu ukipiga simu utasubiri sana hadi ufike ofisini physically ndo inarudi
  12. Isaya Nehemia

    CHADEMA watakuwa mstari wa mbele kuimba sifa za Rais Magufuli baada ya kustaafu!

    Kama atakuja mbovu zaidi ya Magufuli si ajabu CHADEMA kumkumbuka Magufuli ila jinsi alivyo akitokea mbovu zaidi yake vipofu wataona, viziwi watasikia ,mabubu wataongea na viwete wataruka kichura chura.
  13. Isaya Nehemia

    CCM kuzungumza na vyombo vya habari kesho saa sita mchana, Lumumba

    Kwani ile marufuku ya siasa hadi 2020 imeisha? Ni hatari sana kutumia akili za bangi kuongoza watu wazima
  14. Isaya Nehemia

    Dar: Kijana apanda juu ya daraja Ubungo na kutaka kuonana na Mkuu wa Mkoa la sivyo atajiua

    Nikajua bado upo maeneo haya maana nami ni Mr. Natafuta
Back
Top Bottom