Recent content by isaiah9

  1. isaiah9

    Ukiacha Nokia 3310 New Model, Kuna Simu Nyingine Simple Iliyopiku Hii

    Nokia Xpress Music ilitiaga fora[emoji91][emoji91][emoji95][emoji95]
  2. isaiah9

    Chemba Dodoma kunafaa kilimo kipi..??

    Hapanaaa sijakuelewa
  3. isaiah9

    Chemba Dodoma kunafaa kilimo kipi..??

    Vp hali ya hewa mvua zipo..??
  4. isaiah9

    Chemba Dodoma kunafaa kilimo kipi..??

    Maharage vipi..??
  5. isaiah9

    Chemba Dodoma kunafaa kilimo kipi..??

    Poleni na majukumu wakulima, samahani ningependa kujua Chemba Dodoma kunafaa kilimo kipi..?? Je kumwagilia ni muhimu..?? Natanguliza Shuktani[emoji1666][emoji1666]
  6. isaiah9

    Msaada: PC yangu inaonesha hivi

    Hapana shida ni BIOS
  7. isaiah9

    Msaada: PC yangu inaonesha hivi

    Na mimi yamenikuta
  8. isaiah9

    Je, mtu anaofuta usajili, records zinabaki kuwa laini ilitumika na mtu fulani?

    Kwa uelewa wangu sidhani kama itakua na kumbukumbu hizo kwa mfano halotel usipotumia line yao kwa kipindi fulani unakuta namba imeuzwa na ukiangalia usajili hauikuti hiyo namba kwenye namba zilizosajiliwa kwa jina lako. Labda waje wenye ujuzi zaidi kutoa ufafanuzi
  9. isaiah9

    Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

    Taratibu mzee budget ndo znatupeleka huko mkuu ndio maana ata kwenye simu kuna tunaoishia kwenye midrange tu flagship zinakua zamotoo.
  10. isaiah9

    Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

    Mkuu budget ndo iko ivyo alaf geto lenyewe dogo kwaiyo naona kama itatosha tu sanasana kuangalia epl uefa na sometimes kucheza fifa
  11. isaiah9

    Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

    Wakuu kwema? Samahani kwa budget ya 400k naweza pata tv gani nzuri inch 32 ambayo ni HD? PS niko mbeya
  12. isaiah9

    Redmi Note 12

    Kwa bei yake sidhani kama utapata simu yenye Amoled display, 120Hz refresh rate, 5000mAh na SD 4 gen 1
  13. isaiah9

    Redmi Note 12

    Pro iko poa ila ina MTK [emoji28][emoji28]
Back
Top Bottom