Yani uku kwetu kigamboni, imekuwa kawaida tu. Kila siku haijatokea tukapumzika. Ikifika saa moja usiku umeme unakata paap, tukutane saa sita usiku. Hadi inachosha.
Haha, apo imemaanisha ikiwa mtu anamuliki mtumwa (mikono yenu imewamiliki) kwa wakati huo. Unaweza kumuoa kuwa mkeo wa ndo.
Kipindi icho watu walikuwa na watumwa, na lengo ilikuwa ukimuoa mtumwa tayari umesha mkomboa tayari anakuwa mke (muungwana) na ikitokea ameachika harudi kuwa mtumwa...
Asante kumbe ata biblia imeruhusu.
Quran: ( Al aalya aya 18)
Hakika haya yamo katika vitabu vya mwanzo.
Nipo kwenye nyia sahihi.
Mke wangu wa pili usitishike, Quran na Biblia imeruhusu hakuna zinaa hapo
Kitabu hutakiwi kutumia common sense. Unatakiwa kufundishwa ndio mana kitabu kinakuja na mitume, wanakuja wasomi waliopokea mafundisho ndio elimu inakufika.
Kusoma vitabu vya dini hakuhitaji common sense. Sio kama "Rich dad poor dad"
Mimi ni muislamu na kitabu changu kimenipa ruhusa. Ili nisiwe mzinifu katika Quran ( Sura: Nisaa (Wanawake) : Aya ya 3.
"Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao
wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi
kufanya uadilifu, basi...
Habari,
Ninahitaji mke wa pili, naandika tena (Mke wa pili) alie muislamu.
Sifa yangu.
1. Nina mke mmoja
2. Nina mtoto mmoja
3. Nimeajiriwa
4. Muislamu
Nahitaji mke wa pili mwenye sifa hizi
1. Awe mwanamke au mjane
2. Awe muislamu
3. Umri 25 - 33
4. Awe ameajiriwa (Dar es salaam)
5. Asiwe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.