Mimi ni muislamu na kitabu changu kimenipa ruhusa. Ili nisiwe mzinifu katika Quran ( Sura: Nisaa (Wanawake) : Aya ya 3.
"Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao
wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi
kufanya uadilifu, basi...