Recent content by iron.heart

  1. I

    Dark days 17/03/20

    Ahhh wee, unataka ashushe mzigo nyonga ivunjike na safari iwe basi?!?!.... huenda na kibanda nacho kikaungua pamoja na nyasi shambani, akakosa kuezeka paa.... almashuru bora awe anatingisha kichwa tu na kikombe cha kahawa mkononi, maana ni kizee majirani watasema anasinzia
  2. I

    Nini kitatokea kama Dar ikikosa umeme miezi 3?

    Hivi ikitokea kwa mwezi 1 au miezi 3 mfululizo, Jiji kubwa kama Da es Salaam likosa umeme kabisa. Ni hasara kiasi gani inaweza kujitokeza kwenye nyanja zote za maisha tulizonazo kwa sasa?
  3. I

    Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

    Kwani huko kulipwa mjomba si pia walishaangalia sheria inasemaje na inatakaje? Au ni maamuzi ya mtu binagsi yamepita?
  4. I

    Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

    Jaman jaman... taratibuni basi. Mbona wengine tulikua tunakuambeni kabisa mambo yanaenda kwa kasi sana mkisema ndio inavotakiwa na makofi watu wakipiga kwenye TV tukiwaona. Leo hii kila mmona anaikana siti yake alotumia kuketi. Au kuna jambo wananchi hatujui mlituficha?
  5. I

    Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

    Haya mambo ya siasa mpwa huwa hayaaminiki.... usishangae pia ukija kuona ipo kinyume kama usemavyo. Kinachotusaidia sie raia wengine huku mitaani ni macho ya kuangalia sana kuliko kusikiliza kinachosemwa na wana siasa, maana matendo ndio tabia, na tabia ni kama ngozi; huwezi kuibadili. Hivyo...
  6. I

    Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

    Vipi tena mpwa.... umeona nini huko ng'ambo ya pili?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  7. I

    Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

    Upo vizuri[emoji28]
  8. I

    Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

    Anzisha uzi mkuu tujifunze,
  9. I

    Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

    Weeee usinambie.... hebu ongeza nyama kidogo, usitupe supu ya makongoro, weka stake kabisa
  10. I

    Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

    Pia aliwezaje kubadilisha sahani bila kushtukiwa?
  11. I

    Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

    Nimepata muangaza sasa... kwanini M7 walitaka kumpoteza?
  12. I

    Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

    Mbona watu wengi, ninao wafaham, hawapendi hawasemi nini hasa chanzo. Alifanya nini mpemba mpaka akapelekwa puta mazima mazima
  13. I

    Neno "Matukufu" Katika Mapinduzi ya Zanzibar, Lilitoka Wapi, na Yana Utukufu Gani?!,

    [emoji28][emoji28][emoji28] Binadamu huwa tunasahau haraka au tunajisahaulisha, pindi maslahi yanapokua hatarini. Mfano mzuri tu, waangalie viongozi wengi, wwnapofariki wasifu wao unavosomwa... mpenda haki, anaetetea wanyonge, mkarimu, msema kweli, n.k n.k..... ila kiuhalisia wanajua zaidi kama...
  14. I

    Njaa ya Ajabu

    Cjui alikua anatumia kitu gani kulainisha ile kitu(*****) wakati inatoka
Back
Top Bottom