Ahhh wee, unataka ashushe mzigo nyonga ivunjike na safari iwe basi?!?!.... huenda na kibanda nacho kikaungua pamoja na nyasi shambani, akakosa kuezeka paa.... almashuru bora awe anatingisha kichwa tu na kikombe cha kahawa mkononi, maana ni kizee majirani watasema anasinzia
Hivi ikitokea kwa mwezi 1 au miezi 3 mfululizo, Jiji kubwa kama Da es Salaam likosa umeme kabisa. Ni hasara kiasi gani inaweza kujitokeza kwenye nyanja zote za maisha tulizonazo kwa sasa?
Jaman jaman... taratibuni basi.
Mbona wengine tulikua tunakuambeni kabisa mambo yanaenda kwa kasi sana mkisema ndio inavotakiwa na makofi watu wakipiga kwenye TV tukiwaona.
Leo hii kila mmona anaikana siti yake alotumia kuketi.
Au kuna jambo wananchi hatujui mlituficha?
Haya mambo ya siasa mpwa huwa hayaaminiki.... usishangae pia ukija kuona ipo kinyume kama usemavyo.
Kinachotusaidia sie raia wengine huku mitaani ni macho ya kuangalia sana kuliko kusikiliza kinachosemwa na wana siasa, maana matendo ndio tabia, na tabia ni kama ngozi; huwezi kuibadili.
Hivyo...
[emoji28][emoji28][emoji28] Binadamu huwa tunasahau haraka au tunajisahaulisha, pindi maslahi yanapokua hatarini.
Mfano mzuri tu, waangalie viongozi wengi, wwnapofariki wasifu wao unavosomwa... mpenda haki, anaetetea wanyonge, mkarimu, msema kweli, n.k n.k..... ila kiuhalisia wanajua zaidi kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.