Kile unachotakiwa ujifunze kuhusu mapenzi ni kutouweka moyo wako rehani,kupenda ni jambo zuri lakin huwa ni baya pale ambapo umpendae anapoanza kuleta pozi
Hivyo njia ilio bora nikujiandaa mapema kisaikolojia
Anza kufikiria namna unavyoweza kuishi bila yeye wakati bado mapenzi yako...
Jaribu kukaa kimya kwa muda,kama anakupenda kweli atakuanza 2,Kama atakuanza mwambie ukweli kwamba haupendezwi na tabia yake hiyo
Asipokuanza endelea na maisha..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.