Hili ni bandiko linalodhihirisha kazi ya kichwa si kufugia nywele....
Sasa kwa level za elimu za wale mamluki walimzunguka kamwe hawawezi kuelewa haya.
Ule muswada na upite ili tuanzie hapo.
Hivi wewe bwege mtozeni unafikiri watu malofa?...
Kwa taarifa yako watu wanaijua serikali na chama kuliko wewe bibie....
Wewe si unasema hao AZAKI ndio wameratibu...lete ushahidi.
SUala la matumizi ya dawa za kulevya ni mziki mnene sana..Hongera Lyimo...personally nakubali sana jitihada zako kitambo tu....
HIli la serikalini kazi ipo...watu wanakula bangi sana....na ni miaka mingi...anza na viongozi najua unajua...
Kila la kheri Mangi!
Unahangaika na mtu aliepewa cheo sababu ya mama?....hakuna siku nilimuona lofa kama alipoulizwa maswali kuhusu zile hekaheka na kuongea lugha mbovu sana ..mzee wa vandalist ...
Nawapa Pole sana CCM na serikali yake ...
Hiki chama kimejitafutia matatizo chenyewe kwa sababu ya kudharau misingi yake...wewe uteke watu hovyo...upoteze watu kila kona ya nchi alafu utegemee raia wakukenulie meno..hahaha..leo wana struggle sababu ya dharau na kuona wananchi malofa....
Maji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.