Recent content by Iron dome

  1. I

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ally Hapi: CHADEMA kila siku Katiba Mpya, Katiba Mpya inatuletea Ugali mezani? Wananchi wanataka hoja, siyo malalamiko

    Huyu kijana aliwahi kumwambia Mstaafu anawashwa....niliogopa sana.... Huyu mkulima feki huwa mjinga sana....
  2. I

    JamiiForums Tanzania Kuzuru kwa Rais Samia Kremlin, kubadili Siasa, vyama vya siasa, Uchumi, Ulinzi na Usalama

    Una porojo nyingi sana jasusi uchwara.....huna unachojua wewe endelea kupambana na Chadema......umekula ubwabwa?
  3. I

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    Hili ni bandiko linalodhihirisha kazi ya kichwa si kufugia nywele.... Sasa kwa level za elimu za wale mamluki walimzunguka kamwe hawawezi kuelewa haya. Ule muswada na upite ili tuanzie hapo.
  4. I

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wenje: CHADEMA waje kwenye Meza ya Mazungumzo na wajue nchi ina Vyama 19, wakikataa ni jeuri yao

    Katika hili nawatia moyo CDM ..komaeni ....wenje kashapotea.... Eti vyama 19?...hahaha huyu jamaa lofa kweli
  5. I

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu hawajifunzi! Alikuja Kakobe, akawatapeli akatajirika, akawatosa. Akaja T B Joshua. Leo amekuja Mwamposa, anawatapeli, bado hawajashituka!

    CCM wanaona raha sana wakimuona mwamposa....hahaha.. Ule keki upate mimba au sio.... Malofa katika ubora wao... Mzee Mkapa alikuwa fundi sana R.I.P
  6. I

    JamiiForums Tanzania Nani aliwalipata vijana walioingia barabarani October 29, 2025 siku ya uchaguzi?

    We fala tu .......huna hoja! Endelea na porojo zako kwa mazoba wenzako.. Kwa heri...
  7. I

    JamiiForums Tanzania Nani aliwalipata vijana walioingia barabarani October 29, 2025 siku ya uchaguzi?

    Hivi wewe bwege mtozeni unafikiri watu malofa?... Kwa taarifa yako watu wanaijua serikali na chama kuliko wewe bibie.... Wewe si unasema hao AZAKI ndio wameratibu...lete ushahidi.
  8. I

    JamiiForums Tanzania Nani aliwalipata vijana walioingia barabarani October 29, 2025 siku ya uchaguzi?

    Usifikiri humu ndani kila mtu ni mse.nge kama wewe.....
  9. I

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Stephen Wasira: Waliofanya Vurugu wapatikane na kukamatwa Ndipo Tufanye Maridhiano

    Kwa umri wake hana cha kupoteza...asisahau ana wajukuu au kwa sababu wapo nje ya nchi?... Hii ni roho mbaya sana....
  10. I

    JamiiForums Tanzania WATUMISHI WA SERIKALI WANAOTUMIA DAWA ZA KULEVYA WAKALIA KUTI KAVU…

    SUala la matumizi ya dawa za kulevya ni mziki mnene sana..Hongera Lyimo...personally nakubali sana jitihada zako kitambo tu.... HIli la serikalini kazi ipo...watu wanakula bangi sana....na ni miaka mingi...anza na viongozi najua unajua... Kila la kheri Mangi!
  11. I

    JamiiForums Tanzania KERO Kupanda kwa Nauli Njia ya MBEZI-MSUMI, MBEZI-MPIJI MAGOE, MBEZI-MSAKUZI

    Kweli kabisa ..Taifa limejaa malofa kila kona....Mzee Mkapa alitamka waziwazi... Na mwezi ujao mafuta buku tano ....
  12. I

    JamiiForums Tanzania Namshauri Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini Kuifutia Usajili CHADEMA

    Nafikiri wewe hujamjua adui halisi wa chama chenu.... Muda ni mwalimu mzuri sana.... Safari hii mmeyakanyaga *****....
  13. I

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa aliyekuwa akipigia makofi kwa nguvu kauli ya Samia ya kuchapa Wakenya na Watanzania ni nani?

    Unahangaika na mtu aliepewa cheo sababu ya mama?....hakuna siku nilimuona lofa kama alipoulizwa maswali kuhusu zile hekaheka na kuongea lugha mbovu sana ..mzee wa vandalist ...
  14. I

    JamiiForums Tanzania Lissu aonekana Mahakamani leo

    Nawapa Pole sana CCM na serikali yake ... Hiki chama kimejitafutia matatizo chenyewe kwa sababu ya kudharau misingi yake...wewe uteke watu hovyo...upoteze watu kila kona ya nchi alafu utegemee raia wakukenulie meno..hahaha..leo wana struggle sababu ya dharau na kuona wananchi malofa.... Maji...
  15. I

    JamiiForums Tanzania Madeleka: Kuambiwa Ripoti ya Jaji Chande haiwezi kutaja majina ya wahusika kwenye jinai ni uongo, Ripoti ya Jaji Kipenka ilitaja majina

    Sasa fikiria huyu ni Prof wa chuo kikuu tena sio tu chuo kikuu ila ni UDSM... Kafundisha watu na kuwatungia mitihani aisee ...
Back
Top Bottom