Recent content by Iron dome

  1. I

    JamiiForums Tanzania Nimeumizwa Sana Na Kifo Cha Mme Wa Rais Samia Hadi Kushindwa Kutulia Wiki Nzima . Watanzania Tumuombee Rais Wetu Katika Kipindi Hiki Kigumu

    Umeumizwa sana?..hakika wewe jamaa ni kima mzee aisee.... Wewe ni mwanafamilia?....nyie ndio mnaopiga magoti..hahaha Safari hii usipopakatwa sijui..
  2. I

    JamiiForums Tanzania Daktari Bingwa wa Mloganzila, Conrad Agonza, anayedaiwa kumshambulia Trafiki afikishwa Mahakamani, 10/09/2026

    Makebo makubwa njoo..... Naona una hasira sana....umeachika nini?... Haya Specialist yupo nje...umeumia ?
  3. I

    JamiiForums Tanzania Daktari Bingwa wa Mloganzila, Conrad Agonza, anayedaiwa kumshambulia Trafiki afikishwa Mahakamani, 10/09/2026

    Makebo makubwa unachekesha sana.... Mambo si rahisi hivyo wewe chawa mwandamizi
  4. I

    JamiiForums Tanzania Baby Mama wa Elon Musk, Ashley adai alikataa Tsh. Bilioni 105.7 za Musk ili asifanye makala kuhusu maisha yake. Wewe ungezikataa?

    Hiyo ndio gharama ya kuwa na mwanamke mshenzi.... Mdomo mrefu huku huna kitu....
  5. I

    JamiiForums Tanzania Serikali inasubiri nini kumfukuza kazi daktari aliyempiga Trafiki?

    We ni mse.nge tu..unatishia ajira ya serikali kwa mshahara gani?.... Hiyo takataka mnayowalipa madaktari ni mshahara?...we jamaa lofa kweli...nenda hapo Agakhan uone specialist wanampa shilingi ngapi...ninyi chawa ni washamba sana
  6. I

    JamiiForums Tanzania Polisi form four failure wanataka kumuua Daktari Bingwa

    Aisee ila Mulilo ni mnyama aisee.... Nafikiri madaktari mnajua cha kufanya kwa hili kundi dogo la watumshi....lazima kisasi kilipwe..
  7. I

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    We kima lazima ulidisco Muhas..hahahq
  8. I

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Kasome na wewe uwe daktari....eti wapo polites...what is this?.. Wewe jamaa lofa sana...alafu mbona chawa wengi ni vilaza ? Somesheni watoto aisee...
  9. I

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Haki na Amani vinakwenda sambamba, CCM tunasema haki pia ila unaweza kuwa na haki na usiwe na amani

    Kwa kweli CCM ya sasa imekuwa na ujinga mwingi sana.....sitaki kuamini chama kimekosa watu wa maana...wakati mwingine unajiuliza nini kinaendelea...hivi hii tabia ya kuweka watu wenye uwezo mdogo inakisaidia vipi chama?... Takataka kabisa
  10. I

    JamiiForums Tanzania Tanzania watu binafsi wasirusiwe kujenga nyumba bali makampuni ya real estate

    Naona umedata mzee.....peleka haya maneno mbweni alafu utuletee mrejesho mr president
  11. I

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi aagiza Dudubaya akamatwe kwa kukaidi Wito wa Serikali

    Anashangaza sana..eti anamuita Gigy money...mtu anaerekodi hadi X ...hahaha
  12. I

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi aagiza Dudubaya akamatwe kwa kukaidi Wito wa Serikali

    Naona mmepata sababu ya kumuangamiza... Huyu jamaa anahitaji msaada zaidi kuliko wanachotaka kumfanyia... Tabia ya kupigisha watu cheche ni tabia mbovu sana.... Kwa hiyo dudubaya anapingana na Serikali....Katambi amekosea sana.. Ila muda utaamua
Back
Top Bottom