Recent content by Iron dome

  1. I

    JamiiForums Tanzania Kagonga boda, kakimbia kisha kadakwa

    Sasa huyo jamaa kioo cha gari kimemfanya nini?... Ok kakimbia lakini wamempata na gari imepaki why upasue kioo hivyo.... Hawa watu wa pikipiki kumamae zao ipo siku watajaa kwa mtu atawatawanya ubongo.... Mungu niepushe mimi mja wako.... Amen Haya baada ya kupasua kioo roho inarudi?....
  2. I

    JamiiForums Tanzania Kagonga boda, kakimbia kisha kadakwa

    Sasa huyo jamaa kioo cha gari kimemfanya nini?... Ok kakimbia lakini wamempata na gari imepaki why upasue kioo hivyo.... Hawa watu wa pikipiki kumamae zao ipo siku watajaa kwa mtu atawatawanya ubongo.... Mungu niepushe mimi mja wako.... Amen.
  3. I

    JamiiForums Tanzania TBS: Tumewasilisha taarifa Sekretari EAC kuiomba Rwanda kutoa sababu za Kuzuia Vinywaji vya Tanzania

    Pombe feki haina chama wala nchi....kwa taarifa yako tu wewe lofa ccm ,chadema,act..mpaka tadea wanasafishwa figo sababu ya hayo madude feki....
  4. I

    JamiiForums Tanzania Haji Manara aendelea Kumkalia Kooni Heche baada ya kusema Simba na Yanga zinatumiwa kisiasa

    Huyu mlemavu lofa sana....eti anaongea kwa niaba ya soka wakati yeye ni diwani wa chama dume....hahaha....bwege mtozeni kweli huyu
  5. I

    JamiiForums Tanzania Mgombea Urais, Brian Mundubile: Zambia siyo Tanzania, wanajaribu kuleta mbinu zilizotumika Tanzania

    Mambo ya chama dume.....hahaha ....endeleeni kucheza ngoma kwenye festival yenu msisahau nchi ina magaidi kila kona
  6. I

    JamiiForums Tanzania Rwanda wamewafikisha Mahakamani walioruhusu pombe haramu, je Tz tunasubiri nini?

    Hakuna mtambuka wala nini .....unataka kutuaminisha kwamba hawajulikani?... Watu sio malofa ...ndio maana JPM alikushughulikia gereza la Butimba.
  7. I

    JamiiForums Tanzania Kabudi: Mungu akishawapa kiongozi, mumpende mumheshimu, hakujileta mwenyewe

    Kumpenda mtu ni lazima?..... Aisee....kituko kikubwa sana...
  8. I

    JamiiForums Tanzania Rwanda wamewafikisha Mahakamani walioruhusu pombe haramu, je Tz tunasubiri nini?

    Hizi ndio nchi sasa zilizo serious! Malofa sasa....na mtasafishwa sana mafigo
  9. I

    JamiiForums Tanzania TBS: Tumewasilisha taarifa Sekretari EAC kuiomba Rwanda kutoa sababu za Kuzuia Vinywaji vya Tanzania

    Eti vinywaji..hahaha..hiyo mimavi takataka?....kunyweni wenyewe mkasafishwe figo mbwa nyie wazee wa mafamba..
  10. I

    JamiiForums Tanzania Mzee Butiku: Upinzani usimame kwenye heshima, Tumuamini Rais

    Hivi anafikiri hiki kizazi kinamsikiliza?.... He is nothing to them.....apumzike tu... Tena ajue tatizo sio chadema ....ni much deeper
  11. I

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 John Heche: Kama nanufaika na Lissu kuwa gerezani, wamwachie ili nikose hayo manufaa

    Upende usipende huyu jamaa yupo sawasawa sana.....Chama dume cha kizazi hiki hakuna wakuweka pua hapa.... Hivi Makonda yupo?...kamanda mwenyewe hahaha
  12. I

    JamiiForums Tanzania CCM wawasifia Mbowe, Mrema kwa “upinzani mkali”

    Poti nae kumbe kichwa cheupe kabisa.... Anafikiri watu wote malofa au sio?.... Watu wanajua nani ni mpinzani wa kweli na nani alikuwa pandikizi la chama dume...haha
  13. I

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kuna Mwanasiasa anavuka Red line soon.

    Unaongelea maslahi gani huku wanufaika wakiuwawa?... Tafakari ewe mama!
  14. I

    JamiiForums Tanzania Kawaida amjibu Dkt. Nchimbi ''Uimara wa chama hauko katika uwezo wa kiongozi mmoja kujijengea taswira mbele ya umma''

    Kwa tunaomfahamu Dr Nchimbi huyu dogo akae mbali kabisa hii ni mashine tofauti sana... Nahisi hamjui vizuri...
  15. I

    JamiiForums Tanzania Wasira: Nilimwambia Tibaijuka nchi lazima iendeshwe kwa mujibu wa sheria, Tundu Lissu yuko kwenye mhimili wa Mahakama

    Kuna umri ukifika shikamana sana na Mwenyezi Mungu maana unakoelekea ni karibu sana kulinganisha na ulikotoka. Sema Amen!
Back
Top Bottom