Recent content by IRINGA MOJA

  1. IRINGA MOJA

    Walimu Arumeru wataanza kuitishwa "rokoo" ktk ziara za kushtukiza za DC. Kuanzia sasa ruhusa zote zitaombwa kwa barua na kujibiwa kwa barua

    Inasemekana mpaka sasa Jerry Muro bado hajaichangia Yanga. Kwa jinsi anavyopenda sifa na asivyo na breki angekuwa asharopoka kuwa mimi mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro nimechangia Sh ........ tusubiri
  2. IRINGA MOJA

    Mkuu wa mkoa wa Mbeya anawashwa na mikono, aapa kuwashughulikia watakaovuruga uchaguzi

    Ukiona mtu akili yake haifikirii njia nyingine ya kutatua tatizo zaidi ya kuua ujue mtu huyo tayari mikono yake inanuka damu.
  3. IRINGA MOJA

    Nisaidieni swali hili kuhusu Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi

    Kama c minyukano iliyokuwepo kati ya wanaccm wa Zenji na Bara dhidi ya Nyerere mara baada ya Jumbe kuvuliwa uanachama na kunuang'anywa vyeo vyake vyote pengine Mwinyi asingekuwa Rais wa pili wa JMT.
  4. IRINGA MOJA

    Mkazi Dar anaomba Msaada, Mke katekwa

    Kama wanajihusisha na siasa za upinzani basi ujue ndugu zako wapo against na wamiliki wa kile kikosi kinachosemekana kuwa hatari cha mikocheni.
  5. IRINGA MOJA

    Godbless Lema ataka wabunge wa CUF walioondolewa bungeni warejeshwe

    Ni aibu kubwa sana kwa kiongozi aliyetapika hadharani kuyarejea matapishi yake tena kwa amri simply because ulishupaza shingo kubeba ajenda fulani.
  6. IRINGA MOJA

    Nape: CCM ikikataa kuambiwa ukweli ndo mwanzo wa kuanguka kwake

    Nasubiri kitakachosemwa jukwaani kama jibu na Mkulu
  7. IRINGA MOJA

    Ofisi ya Bunge yatoa ufafanuzi kuhusu kurudishwa kwa gari la KUB alilokuwa anatumia Mhe. Mbowe, yasema hajanyang'anywa

    Hawakawii kusema Lissu arejeshwe nchini kwamba naye hakufuata taratibu za matibabu na hakupata kibali toka Mhimbili. Nchi ya vioja
  8. IRINGA MOJA

    Mambo 25+ Magufuli amewashangaza watanzania mpaka sasa

    Umesahau upendeleo kwa baadhi ya viongozi wa serikali.
  9. IRINGA MOJA

    Mwigulu Nchemba: Aliyemtisha Nape kwa bastola sio Polisi. Uchunguzi wa Lissu kushambuliwa unaendelea, tutatoa taarifa

    Siku zote wanasiasa wana ndimi mbili. Subiri siku moja amwagiwe ugali hapo ndio utathibitisha undumilakuwili wa wanasiasa.Jambo linalotia fora ni kwamba wizara aliyopo haijawahi kumuacha mtu salama.
  10. IRINGA MOJA

    Nairobi: Bunge lamnyang'anya Freeman Mbowe gari la KUB alilokuwa akitumia

    Hawakawii kusema wanataka kupima madawa ya kulevya. Awamu hii vioja ni sehemu ya ilani.
  11. IRINGA MOJA

    Kubenea: Tundu Lissu amesema anawajua kwa sura waliompiga risasi

    Risasi kati ya 25-30 eti vita ya uongozi ndani ya chama, mara eti uhasama wa kazi yake ya uwakili. Kweli? Mbona alipotoa taarifa ya kufuatiliwa kwake hakuna hatua zilizochukuliwa!!!! Ile taarifa angeitoa spika wa bunge kwamba kuna gari inamfuatilia je IGP na vyombo vyake wangekaa kimya...
  12. IRINGA MOJA

    Zitto Kabwe: Njia nane(8) za kuwa Dikteta

    Msigwa kakamatwa, huyu ni kama tu ameshashinda ile kesi kwenye kamati ya maadili. Kwa jinsi walivyojitanabaishani dhahiri wanaweza kusema kasemwa mkulu hivo naye akamatwe
Back
Top Bottom