Mfumo ni uleule kaka,last semester niliandika barua na kuahidi kwamba nitalipa ada,wakaniruhusu nifanye mitihani,ila matokeo yalivyotoka SUASIS yangu,ilifungwa (sikuweza kuview matokeo),kama wenzangu! Kwa sababu sikumaliza Ada.
Course yangu ni ya miaka mitatu,na Mimi nipo mwaka wa tatu kwa sasa! Ada ya mwaka mzima wa Masomo ni 804,500/=,ambayo bado sijalipa.
Na pia mwaka jana nikiwa mwaka wa pili nilibakisha deni la ada 454,500/=.
Mimi nasoma SUA,nachukua Bsc.Food Science and Technology, 23years! Niko Mwaka Wa Tatu wa masomo!
Mwanzoni Swala la kulipa Ada,Mama yangu alikua ananilipia,lakini matatizo yakaikumba familia yetu,Mama akawa anaumwa,anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo na presha,hali yake ikawa ni kulala tu...
Habari wandugu zangu,Wakubwa shkamoo,
Mwenzenu nimekumbwa na tatizo kidogo! Nilikua nimeanza vizuri,sasa naona nashindwa kumalizia Ada yangu ya Chuo,naomba msaada wenu,na Niko mwaka wa Mwisho,Ni Mimi Irene niko Sokoine University of Agriculture (SUA),
Namba yangu ya mawasiliano
0657859843
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.