Niaje wakuu, mimi ni mkazi wa Kigoma Mjini, kuna hii barabara mpya ya lami ambayo inapita katika mtaa wa Saigoni Kigoma mjini, naomba mamlaka husika zifanyie kazi suala la kuweka matuta katika hii barabara mpya kwa sababu magari na pikipiki zinashuka kwa kasi sana.
Tuna watoto zetu na wake zetu...
Kutokana na kupata adha ya kukosa maji mara kwa mara tena kwa kipindi kirefu, mimi kama mwananchi mkereketwa nikaamua kufanya uchunguzi kujua nini kiini cha tatizo katika mamlaka ya maji Kigoma Ujiji.
Katika ofisi ya Wizara ya maji ingeundwa tume maalum ya uchunguzi kuhusu madai haya:-
Mamlaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.