Recent content by IPYANA MWANGOLOMBE

  1. I

    Magufuli, acha kujitafutia sifa kwa mfumo huu

    mzeee jaribu kutumia akili kidogo katika kutafriri mambo ulitaka mzee afiche ukweli wakati mambo yanajidhihirisha ukweli taifa limerudi nyuma sana na ni haki ya magufuli kuwaweka wazi watanzania "openess"and "accountability " is what we need and are the best character of a good leader
  2. I

    Mgombea Urais kupitia CHADEMA na UKAWA, Lowassa ndani ya BBC Swahili - Oktoba 21, 2015

    umeona hee mijitu ya ukawa inamtetea me nashangaa watu wanafikiri mabadiliko ni kuikomoa ccm ila wanashindwa jua wanatakiwa angalia ufanisi kwa baadhi ya viongozi...yani chaguzi hizi zimegubikwa na ushabiki hata watu wasio na uelewa na siasa wanaparamia tu
  3. I

    Mgombea Urais kupitia CHADEMA na UKAWA, Lowassa ndani ya BBC Swahili - Oktoba 21, 2015

    ongea vyote lakini ukweli unahuma mnaona kabisa mgombea wenu hayupo compitent hata katika kujibu hoja nyepesi we kama una usingizi lala..maana me napata tabu kubishana na watu wenye mawazo mgando kama yako...kwanza umesoma ww maana naona hoja zako za chooni..au ndio wale ndumi la kuwili wa...
  4. I

    Mgombea Urais kupitia CHADEMA na UKAWA, Lowassa ndani ya BBC Swahili - Oktoba 21, 2015

    Hauna hoja nenda ukalale najua mmemsikia dhahiri Mwizi wenu hamna cha kumtetea na watanzania wanazidi ona mashudu anayoyafanya kwa hyo ww nuna pasuka ukweli ndio huo
  5. I

    Mgombea Urais kupitia CHADEMA na UKAWA, Lowassa ndani ya BBC Swahili - Oktoba 21, 2015

    Nimefuatilia sana maswali aliyoulizwa na jinsi alivyokua akiyumba yumba katika kujibu ukweli ni kwamba lowassa hana sifa na vigezo vya kua raisi wa nchi kwa sababu kwanza anashindwa kua muwazi (openess) which is very important as a quality of a good leader..pili lowassa huyuhuyu anaulizwa kwenye...
  6. I

    Samweli Hussein Katoli, kati ya wazee wachache waliobaki na busara zao. Kingunge?

    unawaita waliobaki ccm wanafiki hivi umesahau maneno ya kina lissu...mnyika...msigwa..mbowe mwenyewe na halima mdee juu ya mgombea wa ukawa lowasa ambae ni miongoni mwa mafisadi na chadema walimtangaza tanzania nzima leo wanamsafisha na kuficha maovu na wao tuwaitaje... Ni zaidi ya wanafiki...
  7. I

    Sijawahi mwelewa Sumaye tangu akiwa CCM mpaka leo hii mkutanoni Mbeya

    Usimseme mwenzako ana akili ndogo zako je umezipima katoa ushauri wake na katoa jambo ambalo ni sahihi kabisa hakuna uongo aliouweka ameeleza kitu kilichotokea kama mtu akieleaza ukweli ana akili ndogo..basi wewe unayechambua mambo una akili ndogo kuliko
  8. I

    Kwanini Nyerere aliogopa kusema CCM itaoza kuanzia ndani akasema Mapinduzi yatatoka ndani ya CCM?

    Ccm oyeee hapa kazi tuuu huyo aliepost asijidai ana akili sana kumzidi nyerere na kingereza chake cha chooni #hapakazitu. ...nahisi umeamka hata mswaki haujapiga umeanza kukurupuka fungua kinywa kwanza mzeee
  9. I

    Kutoka Dodoma: Sherehe za Kilele cha mbio za Mwenge, Rais Kikwete ahutubia

    Kukosea kwa raisi kikwete ni kawaida tu hakua na taharifa rasmi zungumzieni sera na muache kumkadili raisi
  10. I

    Isingekuwa "Utata wa Richmond", Lowassa angepita bila kupingwa

    Nafikiri unaota ndoto za mchana amka wewe
  11. I

    CCM inang'olewa na wakati na sio UKAWA wala Lowassa

    Mabadiliko sio kwa porojo kama mnavyodanganywa mabadiliko ni ukombozi wako wa kifikra ujitume na ufanye kazi kwa bidii
  12. I

    CCM inang'olewa na wakati na sio UKAWA wala Lowassa

    wewe nafikiri sijui elimu yako ni ya darasa la saba maana hoja zako ni za chooni haya hata na elimu kwenye maswala ya kisiasa hauna unakurupuka kaa chini ufunzwe na wanaojua siasa na watakuonesha alama za nyakati zinaenda vipi
  13. I

    CCM inang'olewa na wakati na sio UKAWA wala Lowassa

    ccm haitolewi kwa porojo kama unajua maana ya siasa utakubali ukweli hii ila kama hauelewi nafikiri ni mda sasa upate ukombozi wa kifikra
  14. I

    Nape, Bulembo, Mwigulu na Sadifa mnaiangusha CCM hivi hivi!

    ccm haijafafa ila ukiwa ndio mmekufa
  15. I

    GE2015 Huyu ndiye Waziri Mkuu wa Magufuli

    labda rais wa bongo movie..sio nchi maana anajua sana usanii
Back
Top Bottom