Awali ya yote naomba niwapongeze CDF,IGP,Mkuu wa usalama,Spika wa Bunge,Jaji mkuu kwakuwa wazalendo sababu kila hafla ya Mheshimiwa rais iwe ikulu au sehemu yeyote ile wanahudhuria hata iwe mkoani viongozi hawa huacha shughuli zao na kuhudhuria kwahili hatuna budi kuwapongeza.
binafsi natamani...
Sasa mbona kipindi anateuliwa kuwa DG media zote za ndani na nje zilichapisha habari na kubandika picha zake sasa hao maadui unaowasema wanashindwa kwenda google na kupata picha ya huyo Kipilimba na pia siku anaapishwa tukio si ilichukukuwa live na video zipo youtube.
Kiongozi mkuu wa idara...
Zitto katumwa na wahindi kutuchonganisha na raisi
Wakulima wanyonge wameshapata mtetezi na rais ataongea na marais wa china na nchi zingine na soko litapatikana kwa urahusi na kwa bei ya juu ..
Zamani Baba alikuwa na majina A.k.A mengi kama
1.Gaidi
2.Dingi
3.mzee mkaksi
4.kubwa la maadui
Baba akirudi kutoka kazini utasikia watoto wakisema gaidi ashaingia hapo watoto wanakuwa wapole na wenye nidhamu na ikitokea mtoto kachelewa kurudi home ataumiza kichwa namna ya kumkwepa Gaidi au...
Lipumba": ilikuwa fedheha kumchukua lowassa awe mgombea wetu wa urais.Lowassa alikuwa anapinga katiba ya Warioba na alikuwa mstari wa mbele kusapoti misimamo ya CCM.
Lipumba":Kama mtu kutoka CCM tungemchukua awe mgombea wetu wa urais kama ingetokea sie 3 hatukukubaliana basi ingekuwa Jaji...
Mkuu unapoteza muda
WaTanzania ninachowakubali wanajua kupuuza
Kama mange alivyopuuzwa na ww endelea kupoteza muda kucopy na kuandika post virefu ila waTanzania ni wazuri kwa kupuuza vibaraka
Kikwete kafa nini sasa?
Anahitaji siasa za nn wakati cheo kikubwa kapata urais na kastaafu ?
Kikwete kila kukicha yupo Canada mara usa mara Nigeria mara south mara Mozambique kwa ishu za kikubwa
Tayari kaanzisha NGO kubwa Afrika
Kwahiyo utajiri ndio ushawishi???lowassa ana ushawishi...
Huyo mbunge anawakilisha watu wa kilwa kwa muono wangu yupo sahihi sijaona kasoro.kama anataka jimbo lake liwe recognized haki yake sababu yeye anaipigania kilwa na sio dar,arusha.Ndio maana kuna somo la history na vitabu vilivyochapishwa na watu wanasoma .jibu la busara litolewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.