Recent content by iphoneman

  1. I

    Mtoto wa mkulima na vyura

    Sio aligonga Vodka?
  2. I

    Like a radio

    A cable has 2 b plugged into a port.
  3. I

    Like a radio

    Girl told a boy: I'm like a radio,my mouth speaker, my left breast tuner, right one volume. Man said: Can I try? (he touched the breasts)-no sound. Girl said: U havent plugged in yet!
  4. I

    Valentini dei !!!

    valetine day is cancelled this year coz it has been proved mathematicall tht 14-02-12=0... Sorry for incoveniences
  5. I

    Hivi unajua kitamu

    kunyaaa
  6. I

    Kwa hili la mgomo wa madaktari, JK hatutokusamehe!

    naomba tutazame kitu kimoja ktk utoaji wa hoja zetu, ktk thread nyng hasa znazohusu mgomo wa madaktar tunaanza kumlaumu rais, hv ikitokea waalimu, madereva, polisi, n.k. wamegoma kw wkt mmoja bdo lawama ztakua kwa rais? Wizara znafanya kaz gan au nini maana ya kuwa na wizara husika? Tunatakiwa...
  7. I

    Kama una hamu ya kutukanwa :

    mmesahau POLISI
  8. I

    Takwimu za ndoa

    Shukrani sana mheshimiwa, naona nshaanza kupata mwanga.
  9. I

    Takwimu za ndoa

    Nako wanatakwimu za ndoa kwan? Duh!
  10. I

    Takwimu za ndoa

    Inabidi nifanye hivyo aisee
  11. I

    Takwimu za ndoa

    yani kikubwa ninachohitaji saivi ni hizo takwimu tu katika vipengele vingine nimekwishaandaa
  12. I

    Takwimu za ndoa

    Dah! Lakini hata nikiweza kupata za baadhi ya maeneo nchini itakua vyema pia sababu nimejitahidi kuangalia RITA lakini naambulia patupu tu.
  13. I

    Takwimu za ndoa

    habari zenu wana JF? hivi karbuni nmekua nikifuatilia sana hili jukwaa na kusoma threads zenye mafunzo kwa baadhi ya watu {nami nikiwa mmoja wao} ila nipo hapa nikiomba msaada kwa yeyote mwenye takwimu ya idadi ya ndoa zinazofanyika kila mwaka nchini kwetu au itakua vyema zaidi kama nitapatiwa...
  14. I

    mambo sasa yamenichanganya

    Kaka kwani we ndiye uliekua bestman kwny harusi? Kama ndio kaa na wanandoa hao uwasikilize kwa makini kisha utapata ufumbuzi wa matatzo vngnevyo waambie wawatafute wahucka sahihi kwan wale hawakuwepo pale kula keki tu na kunywa bali kusaidia kutatua matatzo yatakayowakabili wanandoa hao
  15. I

    Eti napendwa tena...

    Mkuu umenena vyema sana, natakiwa nchukue uliyoyasema niyafanyie kazi. Shukrani
Back
Top Bottom