Mkuu Kuna mawasiliano kama unaona wizi hachana nayo una uhuru wako wa kuamua utakacho me nimetangaza biashara nmefanya sehemu yangu kuamini au kutokuamini ni juu yako
Calculation utafanyiwa baada ya kujua unataka gari gani na mkopo utalipa kwa muda gani hayo yote yatafanyika baada ya kujua mteja anahitaji nn ndo maana kuna mawasiliano kama hauko huru hacha tu mkuu option unazo nyingi fata kitakachokupa amani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.