Recent content by inyekule

  1. I

    Makala ya Jenerali Ulimwengu Kumkumbuka Prof. Chachage Setty Chachage

    Mqandiko km haya ndo yanayoitofautisha JF na FB this is great.
  2. I

    Makala ya Jenerali Ulimwengu Kumkumbuka Prof. Chachage Setty Chachage

    Asante kwa andiko hili kwn limenifanya nijitafakar na nimeamua kuchukua hatua zangu binafsi..
  3. I

    Majibu Mujarabu Kutoka Kwa Wakili Lawrence Kego Masha kwa Waziri wa Sheria Ndugu Mwakyembe

    Nafikiri hujamuelewa, rudia kusoma tens may be utaelewa vzr
  4. I

    Majibu Mujarabu Kutoka Kwa Wakili Lawrence Kego Masha kwa Waziri wa Sheria Ndugu Mwakyembe

    Kwenye mada hii Lumumba siwaoni kabisa, nafikiri ni hii legal language, u did well Wakili Msomi Masha cz ingekuwa lugha yetu ya kuimbia taarabu saa hizi replies zingekuwa buku na za kukuponda na kuiponda TLS. Tukutane Arusha tufanye maamuzi ya kisomi.
  5. I

    Baada ya Dr.Kigwangala, Mwigulu, sasa ni zamu ya Makonda kuhusu jina, hii inaweza kuwa kweli au?

    Wenye mapenzi mubasharaa na Paul Makonda au Daud swala la kumsifia halijibu hoja ya msingi iliyoulizwa na iliyosambaa mitaani. Tunahitaji majibu sio blabla. Hata hivyo wenye akili tunaanza kuhoji uelewa na weledi wake kuwa ni wa kiasi gani hasa kwa maamuzi na matamko take km vinalandana, ajibu...
  6. I

    Zitto: Kuna amri inatoka juu kuwakataza Mkuu wa Mkoa na Wilaya kukaidi kuja Bungeni kuhojiwa

    Isipotekelezwa bunge limedharauliwa, na bunge likiamua kusimamia katiba na kupiga kura ya kutokuwa na imani na Mkuu, then ngoma drop hakuna serikali, uchaguzi unaanza.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
  7. I

    Zitto: Kuna amri inatoka juu kuwakataza Mkuu wa Mkoa na Wilaya kukaidi kuja Bungeni kuhojiwa

    Nakushauri Zitto endelea na move kwani unachokisimamia ni sahihi, hakuna mhimili wenye nguvu kuliko mwingine, vilevile heshima ya binge italindwa na bunge na wabunge wenyewe, pambaneni tuko nyuma yako.
  8. I

    Tundu Lissu hajamshangaa waziri Mwakyembe juu ya yeye kugombea urais TLS asema neno

    TLS ni kina wanachama zaidi ya elfu sita Tanganyika, ni wasomi wenye weledi, ambao ktk utendaji wa mhimili wa Mahakama mawakili ni wa muhimu sana, lkn pia uwepo wao ni walazima, chama hiki kupelekeshwa na member mmoja Mwakyembe kwa sababu ya ulevi wa madaraka si sawa kabisa. T LS kwa miaka yote...
  9. I

    Mwakyembe: Awamu iliyopita aliyetuwezesha kukamata 99% ya madawa ya kulevya aliishia jela

    Mwakyembe yuko sahihi ila nashauri ampelekee Kamishna wa Madawa ya kulevya taarifa na majina kwa sehemu yake jinsi alivyopambana na madawa ya kulevya
  10. I

    Rais Magufuli kuingilia mihimili mingine na kuvuruga taratibu kuna hatari mbeleni kuficha maovu!

    Kama kitu hukielewi bora unyamaze, swala la kusema majaji wawe impeached ni kuiingilia mhimili wa Mahakama, hats hivyo kumtoa Jaji mjipange na sidhani km wataweza.
  11. I

    Rais Magufuli kuingilia mihimili mingine na kuvuruga taratibu kuna hatari mbeleni kuficha maovu!

    Tunaishi ktk nchi tofauti tangu tupate Uhuru, but time will tell..
  12. I

    Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

    Ndiomana huishi kuhusishwa na mambo mengine kwa kujipendekeza kwako, alafu baada ya dakika unaanza kujisafisha na kuwakana watu,, ze akili ndigo..
  13. I

    Kioja kingine: Marehemu alikuwa katibu wa Chama cha walimu, na mjumbe wa NEC ya CCM

    Very wrong, fatilia waraka 2015 wa utumishi wa umma umekataza
  14. I

    Joseph K. Musukuma(Mb): Makonda awekwe ndani aseme anatoa wapi pesa ya kusafiri USA, UK na Dubai

    Kama unamtetea Makonda jenga hoja, km msukuma jenga hoja, hizi habari za kumla huyu zinadhalilisha hii forum
  15. I

    Tuseme: Makonda, Haya hapa Majina ya Wauzaji Madawa ya Kulevya wakubwa

    Umeaema kweli wanahamisha mawazo ya watu kutoka Dodoma issue ya njaa inayoendelea na matokeo form four
Back
Top Bottom